Hili ndio kubwa japo hii inahusu wale waliokomaa kwenye hiyo ndoa ila kwa wale wenzangu na mie ni mwendo wa kususa tu yaani kila mmoja hana muda wa kukaa chini na kutafakari na anajiona yuko sahihi.
Hili ndio kubwa japo hii inahusu wale waliokomaa kwenye hiyo ndoa ila kwa wale wenzangu na mie ni mwendo wa kususa tu yaani kila mmoja hana muda wa kukaa chini na kutafakari na anajiona yuko sahihi.