Hatutaki ujumbe kutoka kwa mafisadi
Hujaona hii habari toka jana?au ndio umepata bando leo?Dakika 47 zimepita toka ujumbe wake upostiwe na mimi ni tatu kuchangia! Duh! Hata jamaa zake wa ukawa wameanza kumchoka!
Soon itadhihirika jamaa kumbe ni LIABILITY!
alimfisadi mama yako ? funguka dada yangu mpelekeni mahakamaniHatutaki ujumbe kutoka kwa mafisadi
Serikali yako nadhani imeandaa mahakama ya mafisadi ila mpaka sasa hakuna fisadi aliyeshitakiwa akiwemo huyo unayemuita fisadi shtuka kijana jieleweHatutaki ujumbe kutoka kwa mafisadi
Some times nadhani wanahitaji kupata majibu kama hayaalimfisadi mama yako ? funguka dada yangu mpelekeni mahakamani
swissme
***Hatutaki ujumbe kutoka kwa mafisadi
Angalau nimewaamsha msimuahibishe fisadi wenu!Hujaona hii habari toka jana?au ndio umepata bando leo?