Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,146
- 14,699
- Thread starter
- #81
Hmm!...Nani atakubali kuolewa na marioo???
Hmm!...Nani atakubali kuolewa na marioo???
wewe ushawah kula upepo mkuu...Na kujilisha upepo.
Mnaanza kwa kusema bure lakini watu wakifika huko mnaanza jamani mchango wa kumchangia mwalimu fedha ya nauli,mara kulipia sehemu ya ukumbi etc,Kama ni Bure kweli nyie mnafiadika na nini? au ni kazi ya kanisa mnalipwa na mungu?DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa