Ujumbe toka Kanda ya Ziwa kwa wanaume wa Dar es salaam

Kiukweli mtoa mada umetuvua nguo na kutuacha uchi kabisaaaa sio siri yani hadi naona aibu kubaki hapa
 
Haha haaaa,naona umezidiwa kwelikweli.Wenzio wamekimbia au wanapita hapa kimyakimya maana mmepewa ukweli wenu.
MJIREKEBISHE!!!!

Shemeji hapo magomeni nae alijificha chini ya uvungu wa kitanda?
 
10898197_866310343408684_3847844574912701463_n.jpg

Hali kama hii wanaume anakimbia hata bila kuwaona hao panya road ni aibu kubwa. Mfano angalia picha dume zima linapanda gari mazingira ya hatari kisa panyaroad. Halafu linajisifu mbele za watu mimi ni baba wa familia nina watoto kadhaa. Aibu sana
 
Mbona naona kama mabinti wanapunguzia stress zao hapa.
Jamani wanaume wa dar na kuhonga mmeacha..!!??
 
hivi hao panya road walivamia dar nzima??? maanake naona hizi thread za kipuuzi za dar hamna wanaume zimejaa humu. walivamia dar nzima?? mbona mimi ninapokaa sijawaona na tulikuwa tumerelax tu tunapiga stori
Si unajua tena kila mtu anataka aandike kitu angalau na yeye ajulikane kwamba amewatukana wanaume wa Dar. Upuuzi mtupu.
 
Back
Top Bottom