Mango juice
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 345
- 469
- Thread starter
- #21
Nadhani mkuu umenielewa vibaya sijamaanisha kuwa mmeo akichepuka umfichie uovu wake Lahasha nakusudia udhaifu kama wa kimaumbile au mambo ya ndani na mfn wa haya
Yaani badala ya kukemea maovu ya hao wanaume ndani ya ndoa unakemea wanawake kutoa siri za ndani nje? Eti hata kama mume anachepuka au anamyanyasa mkewe mke anyamaze tu unataka hayo anayoyaweka moyoni ayatoe vipi? Wewe unaweza kuvumilia mapungufu ya mkeo mfano kama mkeo anachepuka au anakujeuria utamvumilia bila kumfanya chochote kibaya?