Ujumbe Maridhawa Kutoka Bondeni

Ujumbe Maridhawa Kutoka Bondeni

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
10325281_163423847356150_4703421716067752094_n.jpg
 
Kama kuna ka ukweli vile😕😕
 
Last edited:
Inaonyesha maana ya "eneo la bondeni au maeneo ya bondeni haijaeleweka" kabisa. Sera ya mazingira ya 1998 na sheria ya mazingira ya mwaka 2004 zinasema hairuhusiwi kufanya shughuli zozote za kibinadamu ndani ya 60m kuzunguka au kwenye kingo za vyanzo vya maji. Na vyanzo hivyo vimeaninishwa kuwa ni; bahari, ziwa, mto, kijito, chemchemi ,bwawa, na eneo chepechepe (oevu).
 
Back
Top Bottom