ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Ingekuwa more transparent kama kura za kila kata, jimbo na kila mkoa zingejulikana. Then, jumla ya kura za kila mkoa ndo zipelekwe Tume ya Taifa kwa ajili ya kujumlisha mikoa yote.
Kila mkoa uwe na center za kujulisha kura za majimbo yote (Urais).
Yawepo makubaliano kuwa kura za mikoa yote zipatikane kabla ya kutangaza matokeo.
Lingine ni kuhusu mfumo wa kuhesabu kura: Kama zinatumika computer, basi formula ihakikiwe mapema na wataalam maana ni rahisi kuweka figure katikati ya fomula kwa mgombea anaependelewa.
Kila mkoa uwe na center za kujulisha kura za majimbo yote (Urais).
Yawepo makubaliano kuwa kura za mikoa yote zipatikane kabla ya kutangaza matokeo.
Lingine ni kuhusu mfumo wa kuhesabu kura: Kama zinatumika computer, basi formula ihakikiwe mapema na wataalam maana ni rahisi kuweka figure katikati ya fomula kwa mgombea anaependelewa.