platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,532
Me simo
Ujue kuna mvua sana mida hii.
Me simo
Mii nimeikumbuka wakati nsoma post ya ADEBAYO
Ndo kitu gani hiki au unamaanisha ....kumiliki bucha sio sababu ya kula nyama kila siku....
Ujue kuna mvua sana mida hii.
Njoo tuchezee mvua..........nitakukaushia nguo
Hahahha asante kwetu mafuriko tutachezaje
Nitakufundisha kuogelea kwenye mafuriko, na kwa hakika baada ya hapo mafuriko yenyewe yataona aibu.
Nikudokeze tu Babu Asprin ni mchaga, anaogopa maji kuliko kifo.
Ukitaka kuamini mwambie muende vacation Pemba kwenye underwater Manta hotel resort.
View attachment 249924
Hizooo zoote mbwembwe mie ata kwake sidanganyiki
Hudanganyiki au hutekenyeki?
Haha ha kutekenyana mama hapendi kankataza
Mama kakukataza kutekenywa na mikono ya vibabu, mimi nakutekenya na kitu kimoja tu lainii.
Aiseee mna makubwa mie siyawezi