Kuna jambo huwa nafikiria sana. Wengi humu huishia kutangaza biashara zao. Leo naona nizungumzie hawa jamaa wa drip irrigation system. Wengine nitawajia siku nyingine.
Hivi mnaona hiyo 1.8m kwa ekari ni watanzania wangapi wanamudu? fikiria mtu una ekari tano (5). unahitaji milioni ngapi? Sasa, nimeshawishika kuamini kuwa hiyo biashara inawalenga watu ambao kimsingi wanajiweza kiuchumi, na wala siyo kwa ajili ya kuwakomboa watu maskini.
Hivi, haiwezekani mkawa na mfumo ambao unaweza kuwaruhusu kuwafungia watu hiyo mifumo alafu mhusika akawa analipa kwa awamu? Kwa nini msitengeneze mfumo utakaoruhusu mkulima kulipa nusu ya bei wakati mnamfungia, alafu inayobaki akailipa kwa awamu mbili (miezi miwili). Angalau hata ukiweka na riba kidogo juu yake siyo mbaya maana mtakuwa mmemkomboa huyu mkulima.
Pia mnaweza kuangalia assets ambazo huyu mkulima anaweza kuziweka kama dhamana. Amini nawaambieni, mkifanya hivi mtapata wateja wengi sana. Wakulima wengi tatizo lao ni gharama ya kuanza. Kama kweli tunataka kumaliza tatizo la umaskini, nashauri tuwaangalie wakulima wa chini kabisa na tuwainue kupitia huduma hizi.
Kuna jambo huwa nafikiria sana. Wengi humu huishia kutangaza biashara zao. Leo naona nizungumzie hawa jamaa wa drip irrigation system. Wengine nitawajia siku nyingine.
Hivi mnaona hiyo 1.8m kwa ekari ni watanzania wangapi wanamudu? fikiria mtu una ekari tano (5). unahitaji milioni ngapi? Sasa, nimeshawishika kuamini kuwa hiyo biashara inawalenga watu ambao kimsingi wanajiweza kiuchumi, na wala siyo kwa ajili ya kuwakomboa watu maskini.
Hivi, haiwezekani mkawa na mfumo ambao unaweza kuwaruhusu kuwafungia watu hiyo mifumo alafu mhusika akawa analipa kwa awamu? Kwa nini msitengeneze mfumo utakaoruhusu mkulima kulipa nusu ya bei wakati mnamfungia, alafu inayobaki akailipa kwa awamu mbili (miezi miwili). Angalau hata ukiweka na riba kidogo juu yake siyo mbaya maana mtakuwa mmemkomboa huyu mkulima.
Pia mnaweza kuangalia assets ambazo huyu mkulima anaweza kuziweka kama dhamana. Amini nawaambieni, mkifanya hivi mtapata wateja wengi sana. Wakulima wengi tatizo lao ni gharama ya kuanza. Kama kweli tunataka kumaliza tatizo la umaskini, nashauri tuwaangalie wakulima wa chini kabisa na tuwainue kupitia huduma hizi.
Gharama kubwa hapo sio kwenye ufundi isipokuwa n vifaa. nenda shambani kwako lenye ukubwa ekar moja piga hesabu mipira ya drip inapita kwa umbali gani mstar mpaka mstar thn uone utatumia roller ngapi. hapo ndo utajua gharama ipo wapi.
by the way hujapiga hesabu kwa ekali unaweza kurudisha hiyo pesa kwa mda gani kwa kilimo cha uhakika wa maji kidogo hata kama unatumia maji ya dawasco.
piga mahesabu vizuri au tembelea mtu mwenye drip irrigation utajua faida na hasara yake ipo wapi.
Imekaaje hiyo kaka?Bado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Mmmmh hiyo imekaaje mkuu ebu funguka tuelimikeBado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
mkuu bado tunasubiri hii kitu asee,usitusahau.utatuokoa wengiBado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Mkuu hii imekaaje?Bado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Huwa tunashauri kuanza kidogokidogo maana kilimo cha ekari tano si mchezo pia kuna mazao ambayo tunashauri yalimwe.
Anza na robo ekari then utaendelea kukua kulingana na soko maana company kukopesha ni changamoto.
Ndugu ungetusaidia kujua hiyo njia mbadala,ingekuwa vemaBado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Ahsante KWA taarifa but haijajitosheleza..funguka kaka ,INGAWA SOMETIME RAHISI NI GHALIBado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Wanapatikana wapi?Bado mnang'ang'ana na mi drip irrigation ya being,kubwa ntawaletea picha ya vijana wanavyochakachukua pipe za umeme kwa ajili ya irrigation utawakubali
Kuna jambo huwa nafikiria sana. Wengi humu huishia kutangaza biashara zao. Leo naona nizungumzie hawa jamaa wa drip irrigation system. Wengine nitawajia siku nyingine.
Hivi mnaona hiyo 1.8m kwa ekari ni watanzania wangapi wanamudu? fikiria mtu una ekari tano (5). unahitaji milioni ngapi? Sasa, nimeshawishika kuamini kuwa hiyo biashara inawalenga watu ambao kimsingi wanajiweza kiuchumi, na wala siyo kwa ajili ya kuwakomboa watu maskini.
Hivi, haiwezekani mkawa na mfumo ambao unaweza kuwaruhusu kuwafungia watu hiyo mifumo alafu mhusika akawa analipa kwa awamu? Kwa nini msitengeneze mfumo utakaoruhusu mkulima kulipa nusu ya bei wakati mnamfungia, alafu inayobaki akailipa kwa awamu mbili (miezi miwili). Angalau hata ukiweka na riba kidogo juu yake siyo mbaya maana mtakuwa mmemkomboa huyu mkulima.
Pia mnaweza kuangalia assets ambazo huyu mkulima anaweza kuziweka kama dhamana. Amini nawaambieni, mkifanya hivi mtapata wateja wengi sana. Wakulima wengi tatizo lao ni gharama ya kuanza. Kama kweli tunataka kumaliza tatizo la umaskini, nashauri tuwaangalie wakulima wa chini kabisa na tuwainue kupitia huduma hizi.