Ujumbe kwa marafiki wote wa MMU

Ujumbe kwa marafiki wote wa MMU

shaurimbaya

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2013
Posts
1,915
Reaction score
2,337
Kama unafanya kazi na "Kipato chako kinaishia kwenye chakula na malazi, kiuhalisia kazi unayofanya inakuwa si fursa ya maendeleo, bali juhudi za kubaki hai ambazo ni fursa ya maendeleo kwa muajiri wako.

Hali hii ilikua na jina lake karne ya 16. Iliitwa *Utumwa.*

- Nikutakie siku njema na mapambano mema ya kujikomboa toka utumwani."

Much love kwa MMU wote.
 
Back
Top Bottom