Wewe ushamaliza hili zoezi? Umeshaolewa? Manake usije tukana mamba wakati hujavuka mto...Hapo mwisho pananihusu saaaana.... Yaan ukipiga hesabu ya michango ya harusi kwa mwaka mzima unaweza kuzimia!!!
Ngoja nifanye mkakati wa KUTOKOMEZA AISEE...
laiti kama ingeruhusiwa mwanamke mmoja aolewe na wanaume zaidi ya mmoja ningemuweka ndani huyu bidada,kaniimpres sana
wamekusiki dada yangu,ila kuhusu magoli kipa wa kiume kweli wapo?
hii mbinu ni ile inayotumiwa na wapiganaji, kuvuka mto na kulipua daraja wasiovuka wafie huko.Wewe Joyce kwa historia yako wala sio role model,hayo unayasema kinywani tu hata wewe usingeweza kutekeleza.
Ndio kikichokushinda kwenye ndoa yako ya kwanza kiria.