Ujumbe hatari wanaswa na serikali...

Ujumbe hatari wanaswa na serikali...

Hawa watu waccm wanaota sana, wanadhani wataendesha nchi kwa vitisho na ugangwe, kweli karne hii unaletea wananchi ugangwe, unawaletea walipakodi ..watu wanaovuja jasho lao kukushibisha wewe Nchimbi na serikali yako, na yule raisi wako kama kipepe, hivi kweli mtaweza na vitisho hivi katika karne hiiii?

Kweli aliye zoe vya kunyonga vya kuchinja hawezi.

Watoto wetu tutawaambia haya, wasikubali kuonewa hata kidogo na serikali ya ccm, na wawaambiae watoto wawatoto hayo.

Hili ndo tatizo la viongozi wetu,la kuamini volikano mfu haiwezi lipuka.hakika ccm na serikali yake hili la gesi litawavua nguo kama mtakimbia kivuli chenu,bila ya kukubali Kuwa the whole meagre gas process is fraud na kuacha propoganda eti kuna watu wana back up wanamtwara hii ni laana kwenu.
 
Zili za kumdharirisha Dr Slaa kwenye uchaguzi hazikuwa ni hatari na wala hazikuhitaji karipio?

Dawa sio vitisho bali suluhisho la kuwasikiliza walengwa!
 
Wapuuzi wachache kama hao ni kuwakamata na kuwanyonga hakuna kuwapa nafasi ya kuishi wachochezi kama hao.Ua kwa manufaa ya nchi tumechoka na kila mtu kujiona mbabe
 
Ni huyo huyo Nchimbi ndiye aliyepuuza juu ya sms zilizohamasisha WanaMtwara kufanya vurugu na baada ya siku chache vurugu kubwa zikatokea.Leo hii tena anataarifa mkononi,lakini yeye analeta mbwembwe na kutoa majibu ya kutishiana.
Mi nadhani ni wakati wake kwenda kusoma japo historia za nchi zilizojitenga ili aone kuwa watu wa Mtwara wapo mbali ama karibu kwa kiwango gani kufikia hayo maamuzi.Halafu ajiulize serikali yake inapendwa kwa kiasi gani na watu wa Mtwara, akumbuke wabunge wa CCM wangapi wameshachomewa nyumba zao katika huo ukanda unaotishia kujitenga ni kweli haoni kuwa hiyo ni ishara mbaya.
Mwisho namshauri aende yeye na waziri wa Nishati kutembelea Mtwara bila ulinzi then wazunguke baadhi ya maeneo ya Mtwara kukusanya maoni ili kujua wanakubalika kwa kiwango gani.
 
Mhhhhh! Magaidi wanaanza mkakati wa kushoot movie nyingine baada ya ile ya kwanza kudorora!!!
 
Wapuuzi wachache kama hao ni kuwakamata na kuwanyonga hakuna kuwapa nafasi ya kuishi wachochezi kama hao.Ua kwa manufaa ya nchi tumechoka na kila mtu kujiona mbabe

Wa kunyongwa hapo ni wewe mvivu wa kufukiri? Hivi mtu mpumbafu si tunahitaji kujitenga nae
 
Hatua za kisheria zichukuliwe kwa hao wanaochochea ujinga huo
Utasababisha watu wang'olewe kucha bila sababu za msingi
kuna maneno mengine ni mepesi tu na wala hayana uzito wa
kuzungumzwa na mtu kama waziri tena akiyazungumza ndio
anayapa uzito.
 
Wapuuzi wachache kama hao ni kuwakamata na kuwanyonga hakuna kuwapa nafasi ya kuishi wachochezi kama hao.Ua kwa manufaa ya nchi tumechoka na kila mtu kujiona mbabe
Bila shaka utakuwa mjumbe wa NEC wewe, tena kutoka mkoa
wa PWANI.
 
Magamba yanaweweseka vibaya sana...
 
Back
Top Bottom