Jilanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 255
- 40
Iko haja ya kutumia nguvu ya umma pale serikali inaposhindwa kutambua wajibu wake na kuwajibika ipasavyo.
Unapokula kiapo cha kulinda maslahi ya Taifa si tena swala la kutoa majibu mepesi kwa mambo mazito ambayo yataligharim taifa kwa miaka mingi Ijayo! Nimeamua kuliwe hii mbele yenu kutokana na mwenendo mzima wa serikali yetu hususan ktk sekta ya Elimu ambayo ndo Moyo ama injini ya maendeleo ya taifa lolote duniani. Staki kuamini kwa Serikali na wizara husika hawanamajibu juu ya Wanafunzi 240903 kupata sifuri. Kuunda tume ya 4 kuchunguza kilichopelekea wanafunzi kufeli ni ni Ujuha ulokubuhi. Kwani Tume zote zilizotangulia kuanzia ya hayati Makweta, ya Juma Quara nk ni kuendelea kupoteza raslmali za watanzania kwa hamna tume ilowahi kutoa report kwa wadau husika! Watanzania tuamke kulinda maslahi ya taifa kwa kuwanyang'anya dhana wote walioshindwa kuwajibika kwani huu ni wajibu wa kila Mtanzania mzalendo. Inasikitisha sana!
Unapokula kiapo cha kulinda maslahi ya Taifa si tena swala la kutoa majibu mepesi kwa mambo mazito ambayo yataligharim taifa kwa miaka mingi Ijayo! Nimeamua kuliwe hii mbele yenu kutokana na mwenendo mzima wa serikali yetu hususan ktk sekta ya Elimu ambayo ndo Moyo ama injini ya maendeleo ya taifa lolote duniani. Staki kuamini kwa Serikali na wizara husika hawanamajibu juu ya Wanafunzi 240903 kupata sifuri. Kuunda tume ya 4 kuchunguza kilichopelekea wanafunzi kufeli ni ni Ujuha ulokubuhi. Kwani Tume zote zilizotangulia kuanzia ya hayati Makweta, ya Juma Quara nk ni kuendelea kupoteza raslmali za watanzania kwa hamna tume ilowahi kutoa report kwa wadau husika! Watanzania tuamke kulinda maslahi ya taifa kwa kuwanyang'anya dhana wote walioshindwa kuwajibika kwani huu ni wajibu wa kila Mtanzania mzalendo. Inasikitisha sana!