Asante kwa elimu nzuri!!!pia katika ilo tairi kuna utaona imeandikwa namba kama izi 2012.ujue n mwaka wa kutengenezwa.na kawaida tairi huwa ina..expire baada ya miaka minne.so zingatien muda wa kutengenezwa unaponunua.ndio sababu kuu ya kubast kwa tairi ukidhani ni mpya kumbe muda wake umeshaisha
Miaka minne ikiwa haitumiki.