mtvbase
JF-Expert Member
- May 22, 2014
- 1,243
- 563
TAARIFA MUHIMU 
Mlipuko unaokuwepo sasa wa Ugonjwa wa Hatari wa Ebola unatuweka kila mmoja wetu katika Hatari.
Tafadhali saidia kuelimisha kwa kutuma msg hii kwa kila mtu unayemjua.
EBOLA NI NINI???
Ni Ugonjwa wa unasababishwa na Kirusi kinachoshambulia mfumo wa damu.
Ni Ugonjwa unaotambulika kwa kisayansi kama HAEMORRAGHIC FEVER.
Kwasababu unasababisha muathirika kutoka damu katika sehemu zote za mwili,na mara nyingi mgonjwa anatokwa damu mpka kufa.
Ebola ni mgonjwa unaenea kwa kiasi kikubwa kwa kuambukiza kwa njia ya kugusa.
Kugusa maji maji ya mwili ya muathirika wa Ugonjwa huu kama vile Damu,Jasho,Mate,Shahawa au maji mengine yatokayo mwili ghairi ya hayo.
Ebola SI UGONJWA UAMBUKIZWAO KWA NJIA YA HEWA KAMA WENGI WANAVYOFIKIRI.
HATARI YAKE
Ni Ugonjwa unaoongoza kuuwa duniani.
Asilimia 90% ya watu wanaopata Ugonjwa huu hupoteza Maisha.
NITAJUAJE KAMA NIMEATHIRIKA
1)Homa kali
2)Maumivu ya kichwa
3)Kuharisha
4)Kuwapiga
5)Uchovu
6)Maumivu ya Misuli na Maungio
6)Maumivu ya Tumbo
7)Kupoteza hamu ya kula
Ikumbukwe hizi ni dalili za Magonjwa mengi si kila Mtu mwenye Dalili hizo au baadhi yake ndio isimwe ana EBOLA
Ukijiona na Dalili hizo wahi haraka kupata matibabu.
TUNAJILINDA VIPI???
1)Osha mikono yako kwa sabuni fanya hivi mara kwa mara.
2)Epuka kushikana shikana na watu kusiko lazima.
3)Safisha mazingira yanayokuzunguka NB Panya pia wanaweza kubeba Ugonjwa huu.
4)Ripoti haraka mara unapojihisi umeambukizwa.
5)Toa Elimu kwa wengine juu ya Ugonjwa huu.
Mlipuko unaokuwepo sasa wa Ugonjwa wa Hatari wa Ebola unatuweka kila mmoja wetu katika Hatari.
Tafadhali saidia kuelimisha kwa kutuma msg hii kwa kila mtu unayemjua.
EBOLA NI NINI???
Ni Ugonjwa wa unasababishwa na Kirusi kinachoshambulia mfumo wa damu.
Ni Ugonjwa unaotambulika kwa kisayansi kama HAEMORRAGHIC FEVER.
Kwasababu unasababisha muathirika kutoka damu katika sehemu zote za mwili,na mara nyingi mgonjwa anatokwa damu mpka kufa.
Ebola ni mgonjwa unaenea kwa kiasi kikubwa kwa kuambukiza kwa njia ya kugusa.
Kugusa maji maji ya mwili ya muathirika wa Ugonjwa huu kama vile Damu,Jasho,Mate,Shahawa au maji mengine yatokayo mwili ghairi ya hayo.
Ebola SI UGONJWA UAMBUKIZWAO KWA NJIA YA HEWA KAMA WENGI WANAVYOFIKIRI.
HATARI YAKE
Ni Ugonjwa unaoongoza kuuwa duniani.
Asilimia 90% ya watu wanaopata Ugonjwa huu hupoteza Maisha.
NITAJUAJE KAMA NIMEATHIRIKA
1)Homa kali
2)Maumivu ya kichwa
3)Kuharisha
4)Kuwapiga
5)Uchovu
6)Maumivu ya Misuli na Maungio
6)Maumivu ya Tumbo
7)Kupoteza hamu ya kula
Ikumbukwe hizi ni dalili za Magonjwa mengi si kila Mtu mwenye Dalili hizo au baadhi yake ndio isimwe ana EBOLA
Ukijiona na Dalili hizo wahi haraka kupata matibabu.
TUNAJILINDA VIPI???
1)Osha mikono yako kwa sabuni fanya hivi mara kwa mara.
2)Epuka kushikana shikana na watu kusiko lazima.
3)Safisha mazingira yanayokuzunguka NB Panya pia wanaweza kubeba Ugonjwa huu.
4)Ripoti haraka mara unapojihisi umeambukizwa.
5)Toa Elimu kwa wengine juu ya Ugonjwa huu.