Ujio wa viongozi wa mataifa Makubwa tz ni matokeo ya safari za nje za Jakaya Kikwete

Kama mojawapo ya sera na ahadi za CCM ilikuwa ni kumleta Mh. Barack Obama, then mmejaribu mmeweza.Lakini ukiangalia kwa undani, Mwenyekiti wa CCM ANAPODANGANYA umma kuwa kwa sasa Tanzania inatumia uwiano wa kitabu kimoja kwa mwanafunzi mmoja, bado ni shida.

Aidha ni mnafiki, au hajui nchi ilivyo (kutokana na kafanya ziara za mara kwa mara tofauti na mwenzake Rais Barack Obama).

Pili gharama za ujio, maandalizi, kuahirishwa na kusitishwa kwa shughuli mbalimbali za kitaifa, kijamii bado unasema eti mnakuwa kwa kasi sana kiuchumi!!Kwa uzalishaji upi?
Vipi unahitaji chupa ya maji hapo mkuu?
 
Ndugu zanguni,

Nimefuatilia kwa karibu ujio wa Obama nyumbani na nimekuwa very proud kuwa mbongo kwani ni Ziara ambayo nchi nyingi duniani zingependa ziwafikie hasa Africa.

Mimi niko huku kwenye box lakini television zote zimekuwa zikionyesha ziara hiyo na ukienda kwenye vijiwe vyetu akina yakhe ndio utajua umuhimu wa ziara kubwa kama hiyo kani waafrica wote walikuwa wanafuatilia ziara hiyo utazani ametembelea Africa yote.

Kitu kimoja nimegundua ni kwa nini Obama alichagua Tanzania na kuacha kwenda hata kule alikotoka baba yake mzazi ni kuwa Tasnzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa Kikwete na CCM tumejaribu na tumeweza na hiyo ndio sababu kuu ya dunia nzima kututambua na Tanzania sasa inatambulika kuwa ni moja ya nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi duniani.

Tatizo makamanda wao wanapiga kelele tuu kuwa Obama kafuata gesi, hiyo gesi sio lazima Obama aje mikataba inasainiwa tu na makampuni husika. Kama ingekuwa hivyo basi angeanzia Msumbiji ambako wanayo gesi kutuzidi bila kusahau Angola na Congo.

Makamanda najua inawauma sana lakini inabidi mkubali kuwa CCM TUMEJARIBU NA TUMEWEZA

I can't imagine mkao wa Babu alipokuwa akifuatilia ziara hii kwenye TV! manake nasikia DJ alipewa kadi mbili za mualiko akamchunia...?

JITAMBUE!
1000774_10151747644608792_399506647_n.jpg




946841_517797644940498_678682134_n.jpg
 
Kama mojawapo ya sera na ahadi za CCM ilikuwa ni kumleta Mh. Barack Obama, then mmejaribu mmeweza.Lakini ukiangalia kwa undani, Mwenyekiti wa CCM ANAPODANGANYA umma kuwa kwa sasa Tanzania inatumia uwiano wa kitabu kimoja kwa mwanafunzi mmoja, bado ni shida.

Aidha ni mnafiki, au hajui nchi ilivyo (kutokana na kafanya ziara za mara kwa mara tofauti na mwenzake Rais Barack Obama).

Pili gharama za ujio, maandalizi, kuahirishwa na kusitishwa kwa shughuli mbalimbali za kitaifa, kijamii bado unasema eti mnakuwa kwa kasi sana kiuchumi!!Kwa uzalishaji upi?
Hivi ni kiasi gani kimetumika kwa hii ziara ya saa 24 tu? Kwani asingekuja bila shamrashamra zote zile? Yale aliyoyasema alishayaandaa tangu anatoka Marekani. Hata kama angepokelewa na mabango bado angeyasema. Kwahiyo gharama zilizotumika hazikuongeza cho chote katika ujio wa Obama.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hivi ni kiasi gani kimetumika kwa hii ziara ya saa 24 tu? Kwani asingekuja bila shamrashamra zote zile? Yale aliyoyasema alishayaandaa tangu anatoka Marekani. Hata kama angepokelewa na mabango bado angeyasema. Kwahiyo gharama zilizotumika hazikuongeza cho chote katika ujio wa Obama.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Najua wewe binafsi ulikuwa mmoja ya watanzania waliojipanga kwa furaha kumkaribisha Rais wa dunia na ulikuwa very proud kumuona Rais wa kwanza mweusi wa marekani.

Yaani unataka kuniambia hukumuona DJ akila bata jana?
 
Ujinga mtupu, wewe ndo ujitambue au sisi? Unajua mwenyeji wa obama alikuwa ni nani? Akili zako haziko sawa wewe!
Ni vema sasa baadhi ya watanzania wenye mitazamo hasi wakaacha kukashifu safari za nje za raisi kikwete nakumuona JK kama anapenda sana safari ambazo kwa mitazamo yao zinaligharimu Taifa.Lazma tupime gharama zitokanazo na ziara za JK tulinganganishe na faida zake kisha tuanze kumuhukumu,vinginevyo tutakua wanafiki na wazandiki kama faida za safari zake kwa taifa nikubwa kuliko hasara,Tumeona ziara ya raisi wa China na sasa raisi Obama na mengine mengi.Kile kinachoitwa safari zakitalii za raisi nafikiri ni dhihaka zisizo na mashiko zilizo jikita zaidi kisiasa kuliko utaifa.Kikwete ni nembo njema ya Taifa nje ya mipaka ya nchi yetu,Hongera raisi kikwete kwa heshima unayoiletea taifa letu kimataifa,usichoke kuhangaika huku na huko ukipeperusha vema bendera ya Tanzania duniani kote.
 
Ni vema sasa baadhi ya watanzania wenye mitazamo hasi wakaacha kukashifu safari za nje za raisi kikwete nakumuona JK kama anapenda sana safari ambazo kwa mitazamo yao zinaligharimu Taifa.Lazma tupime gharama zitokanazo na ziara za JK tulinganganishe na faida zake kisha tuanze kumuhukumu,vinginevyo tutakua wanafiki na wazandiki kama faida za safari zake kwa taifa nikubwa kuliko hasara,Tumeona ziara ya raisi wa China na sasa raisi Obama na mengine mengi.Kile kinachoitwa safari zakitalii za raisi nafikiri ni dhihaka zisizo na mashiko zilizo jikita zaidi kisiasa kuliko utaifa.Kikwete ni nembo njema ya Taifa nje ya mipaka ya nchi yetu,Hongera raisi kikwete kwa heshima unayoiletea taifa letu kimataifa,usichoke kuhangaika huku na huko ukipeperusha vema bendera ya Tanzania duniani kote.

Sorry but this is a kindergarten way of looking at this. Put politics aside,go deep and qualitatively/quantitatively give us stats. Fanya cost/benefit analysis na usisahau kuangalia vigezo wanavyotumia wamarekani kuwekeza mahali na sera yao ya mambo ya nje inasemaje. Nasema hivi kwa sababu naelewa mada yako imepata gist kwa sababu za ziara ya Obama. Crosspolinate our minds if your topic did not aim to time waste. Goodluck
 
Wajinga ndo waliwao!
Ndugu zanguni,

Nimefuatilia kwa karibu ujio wa Obama nyumbani na nimekuwa very proud kuwa mbongo kwani ni Ziara ambayo nchi nyingi duniani zingependa ziwafikie hasa Africa.

Mimi niko huku kwenye box lakini television zote zimekuwa zikionyesha ziara hiyo na ukienda kwenye vijiwe vyetu akina yakhe ndio utajua umuhimu wa ziara kubwa kama hiyo kani waafrica wote walikuwa wanafuatilia ziara hiyo utazani ametembelea Africa yote.

Kitu kimoja nimegundua ni kwa nini Obama alichagua Tanzania na kuacha kwenda hata kule alikotoka baba yake mzazi ni kuwa Tasnzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa Kikwete na CCM tumejaribu na tumeweza na hiyo ndio sababu kuu ya dunia nzima kututambua na Tanzania sasa inatambulika kuwa ni moja ya nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi duniani.

Tatizo makamanda wao wanapiga kelele tuu kuwa Obama kafuata gesi, hiyo gesi sio lazima Obama aje mikataba inasainiwa tu na makampuni husika. Kama ingekuwa hivyo basi angeanzia Msumbiji ambako wanayo gesi kutuzidi bila kusahau Angola na Congo.

Makamanda najua inawauma sana lakini inabidi mkubali kuwa CCM TUMEJARIBU NA TUMEWEZA

I can't imagine mkao wa Babu alipokuwa akifuatilia ziara hii kwenye TV! manake nasikia DJ alipewa kadi mbili za mualiko akamchunia...?

JITAMBUE!
1000774_10151747644608792_399506647_n.jpg
 
ni vema sasa baadhi ya watanzania wenye mitazamo hasi wakaacha kukashifu safari za nje za raisi kikwete nakumuona jk kama anapenda sana safari ambazo kwa mitazamo yao zinaligharimu taifa.lazma tupime gharama zitokanazo na ziara za jk tulinganganishe na faida zake kisha tuanze kumuhukumu,vinginevyo tutakua wanafiki na wazandiki kama faida za safari zake kwa taifa nikubwa kuliko hasara,tumeona ziara ya raisi wa china na sasa raisi obama na mengine mengi.kile kinachoitwa safari zakitalii za raisi nafikiri ni dhihaka zisizo na mashiko zilizo jikita zaidi kisiasa kuliko utaifa.kikwete ni nembo njema ya taifa nje ya mipaka ya nchi yetu,hongera raisi kikwete kwa heshima unayoiletea taifa letu kimataifa,usichoke kuhangaika huku na huko ukipeperusha vema bendera ya tanzania duniani kote.

duh, ila ung'eng'e aibu,sitaki kuamini!
 
Mwanamme mzima unakuja mbele ya wanaume wenzako na upup.u huu safari za jeikei nje hazina faida yeyote bali ni hasara tu! Email kazi yake nini? Kuna conference siku hz mambo ya sign unadondoka online haina haja ya kwenda huko negotiation mnafanya kwenye email discussion mnafanya conference online.

Wacha kuropoka wewe,huyo Obama nae kafuata nini huku asingefanya vikao vya online akiwa marekani?
Na hao maraisi wa Afrika pia wamefuata nini huku mkutano usingekua online,hivi wewe una.a.kili kweli mambo ya msingi maraisi waanze ku chart kama wewe unavyo chat na dem wako!
 
Wacha kuropoka wewe,huyo Obama nae kafuata nini huku asingefanya vikao vya online akiwa marekani?
Na hao maraisi wa Afrika pia wamefuata nini huku mkutano usingekua online,hivi wewe una.a.kili kweli mambo ya msingi maraisi waanze ku chart kama wewe unavyo chat na dem wako!

Safari za marais nje ni hasara sio kwa kikwete hata obama,elewa mada hapa ni Jk na si obama,ndio maaana white house waliziua safari ya obama mikumi kwa sababu cost ingekuwa kubwa sana
 
Ni vema sasa baadhi ya watanzania wenye mitazamo hasi wakaacha kukashifu safari za nje za raisi kikwete nakumuona JK kama anapenda sana safari ambazo kwa mitazamo yao zinaligharimu Taifa.Lazma tupime gharama zitokanazo na ziara za JK tulinganganishe na faida zake kisha tuanze kumuhukumu,vinginevyo tutakua wanafiki na wazandiki kama faida za safari zake kwa taifa nikubwa kuliko hasara,Tumeona ziara ya raisi wa China na sasa raisi Obama na mengine mengi.Kile kinachoitwa safari zakitalii za raisi nafikiri ni dhihaka zisizo na mashiko zilizo jikita zaidi kisiasa kuliko utaifa.Kikwete ni nembo njema ya Taifa nje ya mipaka ya nchi yetu,Hongera raisi kikwete kwa heshima unayoiletea taifa letu kimataifa,usichoke kuhangaika huku na huko ukipeperusha vema bendera ya Tanzania duniani kote.

Are U serious? or just out of your POLITICAL KNOWHOW... Umemsikia AKIENDA FAR EAST??? Rais Wa CHINA Kaja... hence has nothing I mean nothing 2 do with his trips Overseas... Trips zake NYINGI ni Western EUROPE;

Na GUESS what... Wasinge kuja kama Wasingekuwa na Results ya UDONGO Uliochotwa SEHEMU MBALIMBALI TANGANYIKA, kuonyesha UTAJIRI MKUBWA wa MADINI

Pia Baharini kuwa na GAS na OIL...

Kwahiyo iwe na isiwe WAMEKUJA KUCHOTA UTAJIRI WETU; Sio TRIP za KIKWETE... sababu anapokwenda huko Anasign Mikataba yoyote... (HATA KIDOGO) anapata pesa (HATA KIDOGO) Anarudi MTUPU ( NDIO KABISA KABISAAA)
 
Back
Top Bottom