poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
Baada ya misukosuko ya Toleo lao jipya la simu yake ya Galaxy Note7, kampuni ya Samsung inajiandaa kutoa simu mpya ya Galaxy s8 mapema mwakani kati ya January au february 2017.
Tetesi zinasema simu hiyo itakuwa na
Pia taarifa zinasema kwa mwaka 2017 wanataraji kutoa Galaxy S8 Edge, and Galaxy Note 8.
Tetesi zinasema simu hiyo itakuwa na
- A dual-lens camera
- A 30MP rear camera
- An 8MP front-facing snapper
- A 4200mAh battery
- A 3GHz Exynos 8895 processor in some regions
- A 3.2GHz octa-core Snapdragon 830 chip in the US
- 6GB of RAM
- 4K screen
Pia taarifa zinasema kwa mwaka 2017 wanataraji kutoa Galaxy S8 Edge, and Galaxy Note 8.