Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Kama ungemuona wa huko nyuma anaitwa Tim Sebastian ungemuogopa zaidi. Pia kuna mtu anaitwa Jeremy Paxman alimfanya Michael Howard akose u Prime minister kwa maswali yake. Ukikubali kufanyiwa Interview na hawa watu uwe umejiandaa. Tatizo la Lissu pale ambapo alitakiwa awe mkweli akaweka uongo akijua kabisa jamaa wana researchers wazuri. Hawakurupuki kukuliza maswali mengine wanakutega. Hii nguli ilimchemsha Rais Mkapa mpaka akatoka povu mwaka 2001Halafu huyo jamaa wa kwenye HardTalk namufahamu siku nyingi, na ninamuogopa muno. Huyo anaweza hata akawa ni CIA, very intelligent, and strictly smart upstairs!