Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Lile jamaa la Magogoni lazima linune likiona hizi picha.
Aiseee....kimbe leo series inaendelea mkuu wangu!!Safi sana, huku tunazidi kuchochea moto leo musiba ataongea, inaonekana utumbo atakaongea leo utawamaliza CCM
Wameuza kampuni yao kwa bei nzuri.Acacia wamekimbia nchi au wameuza kampuni kwa faida?
Mzee issue ya ACACIA isikie tu juu ni ngumu kuliko unavyofikiria, anayenunua na anayenunuliwa ni huyohuyo mmoja.MIGA ,MIGA, MIGA
Mwanasheria wa hovyo kabisa kuwahi kusomeshwa na kodi za watanzania na kuwasaliti.
Mwambieni Acacia wamekimbia nchi.
Ndie uliyemuona huyo!umerudishwa tena kama Simbachawene ?
Tulia muziki muusikie serikali za mitaa ni kijani tu!Unaongea kinyoooonge..!
Juha wewe la ufipa arudi si kwao huku!Kwawewe ZWAZWA wa LUMUMBA huweziona ajabu
Mh. Freeman Mbowe mwenyekiti wa chama Taifa ametua Ubelgiji kuratibu ujio wa Mh. Tundu Lissu Nchini shoneni suti.
Share zaidi
Sasa si anakula ruzuku za Chadema na Mbowe anahalalishaanaonekana yuko relaxed as if hayajamtokea makubwa, angekua mwingine ungemuona kabisaa depressed
Mzee issue ya ACACIA isikie tu juu ni ngumu kuliko unavyofikiria, anayenunua na anayenunuliwa ni huyohuyo mmoja.
Karama ya umbeya?Kuna watu hapa duniani MUNGU amewapa Karama kubwa mno huyu lissu ni taa ambayo bwana anamulika ndani yake..
Taa hii haiwezi kuzimwa na mwanadamu yeyote mwenye mwili wa nyama
Kuliko joka la mdimu ambalo bado mmelikumbatia,pumbavuMIGA ,MIGA, MIGA
Mwanasheria wa hovyo kabisa kuwahi kusomeshwa na kodi za watanzania na kuwasaliti.
Mwambieni Acacia wamekimbia nchi.
mh!MIGA ,MIGA, MIGA
Mwanasheria wa hovyo kabisa kuwahi kusomeshwa na kodi za watanzania na kuwasaliti.
Mwambieni Acacia wamekimbia nchi.