Ujinga wa watu wa facebook.

hazole1

JF-Expert Member
Jan 3, 2015
4,319
3,911

Hapo ni baada ya rafiki zake kuangalia ujumbe facebook na wakagundua hiyo ilikuwa ni siku yake kuzaliwa wakaanza kumtafuta kimya kimya wakamkuta njiani wakaanza kuzoa matope na kumwagia na mwisho wa siku wakampa zawadi ya sh. 6000.
Na ukiwauliza wanasema hapo ndio amezaliwa upya.
 
Sio kwamba alikuwa job uyo na izo yeboyebo na kingine watu wa fb wanausiana nn na hiyo picha mkuu
 
Sio kwamba alikuwa job uyo na izo yeboyebo na kingine watu wa fb wanausiana nn na hiyo picha mkuu
Hiyo ni happy birthday yake na wamemuotea jamaa wakati mvua imetoka kunyesha.
 
Acha watu wafurahie kwa raha zao, hakuna baya lolote walilolifanya hapo.
Kama unaona huo ni ujinga basi I doubt you have a happy life! sometimes mtu unachill tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…