Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Nchi ya Ujerumani iliyoko Bara la Ulaya imekuwa ni kama shamba la Bibi, kila Mtu anadai fedha na analipwa!
Kuanzia Israeli wanaodai hela na wanalipwa mpaka leo ktkna na madhambi ya A.Hitler, Wanamibia walidai hela kutokana na Ukoloni wa Wajerumani ambapo waherero wengi waliuawa, sasa hivi hata nchi iliyofilisika ya Ugiriki ambayo ina madeni kibao wanataka pia walipwe na nchi hiyo ya Ujerumani kwa kuwa waklati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Hitler aliingia huko na kusababisha madhara, sasa kama kila Mtu anaidai nchi hiyo na wanalipa sisi tunangoja nini kudai na kujipatia mabilioni?
Mbona tuna kila sababu kuanzia kuuliwa kwa watu wa Lilinga, mpaka kwenye vita ya maji maji na Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ambapo Askari wetu walishiriki chini ya Mwamvuli wa Mjerumani hivyo tunaweza kuanzisha madai hawa Jamaa wana fwedha nyingi sana ndiyo matajiri wakubwa Ulaya hivyo watatulipa Tu!
Kuanzia Israeli wanaodai hela na wanalipwa mpaka leo ktkna na madhambi ya A.Hitler, Wanamibia walidai hela kutokana na Ukoloni wa Wajerumani ambapo waherero wengi waliuawa, sasa hivi hata nchi iliyofilisika ya Ugiriki ambayo ina madeni kibao wanataka pia walipwe na nchi hiyo ya Ujerumani kwa kuwa waklati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia Hitler aliingia huko na kusababisha madhara, sasa kama kila Mtu anaidai nchi hiyo na wanalipa sisi tunangoja nini kudai na kujipatia mabilioni?
Mbona tuna kila sababu kuanzia kuuliwa kwa watu wa Lilinga, mpaka kwenye vita ya maji maji na Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ambapo Askari wetu walishiriki chini ya Mwamvuli wa Mjerumani hivyo tunaweza kuanzisha madai hawa Jamaa wana fwedha nyingi sana ndiyo matajiri wakubwa Ulaya hivyo watatulipa Tu!