Tumekosa vipaumbeleHakuna namna lazima uwanja ujengwe tu,wewe shida yako nini sasa Chato ni nyumbani kwa Rais lazima Huduma muhimu zote zipatikane hakuna namna ni lazima.
Rais hawezi kuishi kama RAIA wengine wa kawaida ana mambo yake ya msingi ktk kutekeleza majukumu yake akiwa kazini na akiwa mapumziko ni nyumbani kwake Chato.
Ndiyo Serikali makini inavyojali viongozi wake.