Ujenzi wa Stigler's Gorge H.E.P


In addition, kuna malori mamia kwa mamia kila siku yanabeba mkaa wa mawe toka Mbinga kwenda nao sehemu mbali mbali za nchi na hata nje ya nchi. Hivi mkaa wa mawe si unaweza kutumika kuzalisha umeme jamani? Kweli nchi yetu ina vitendawili vingi
 
Points

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii serikali ni yake... muacheni afanye awezavyo..
Noma ni kuwa Katibu Mkuu maliasili ndo amepewa jukumu la kuhakikisha mradi unatekelezeka..!
 
1/3??? una data za kutosha?
hivi nyie ni wasomi gani sasa, ukisoma na kuelewa mambo ya environmental conservation measures, moja ya njia ya kutatua uharibifu na uchafuzi wa mazingira ni kutumia Hydro-Electrical power( HEP), uchambuzi wako umeegemea kwenye wasiwasi wa kimazingira as if kuna air pollution ama too much vegetation clearance.

don't worry wala hatumo kwenye list ya nchi zinazozalisha hewa ukaa( greenhouse gases), lazima tuwe na mioyo ya kijasiri na kimaamuzi kama taifa, output ya Selous kwenye GDP yetu haitalingana na ya HEP.

Wazungu wanasimamia mazingira Afrika ilihali kwao ndo wanazalisha gesi hatari kwa mazingira duniani kote, we must be opportunists and not conservatives!!
 
Wakati mzungu akijenga viwanda hakujali mazingira sasa hivi mbongo kutaka japo umeme tu...utaambiwa mazingira.

Unakimbilia kuchafua Mazingira wakati hivyo vyanzo unavyovitumia sasa hivi hujavitumia kwa asilimia hata 20%, Gas unayo kinachohitajika ni kufunga gas turbine na engines za kutosha kuzalisha huo umeme...kwa akili hizi za kila anayekuja anakuja na wazo jipya wakati kumbe angeongeza nguvu kwa vile vilivyokuwepo angemaliza tatizo kirahisi kabisa..
 
3% ya Selous.
Mkuu hii uliyoweka wewe ndio inaingia akilini na sio ile 1/3 ni eneo kubwa sana ukizingatia ukubwa wa selous!!!
1/3=0.333..
3%=3/100=0.03 hapo unaweza kuona tofauti kubwa kimahesabu. Mleta mada nahisi kakosea kunukuu hiyo namba.
 
Hujui kuwa H.E.P stations ni moja ya emitters wakubwa wa C02? Japo kwangu sioni kuwa kutoa C02 ni tatizo maana ni insignificant kwetu na ndio,refer Kyoto protocol.
Swala ni wapi gesi,wapi upepo,wapi makaa ya mawe,wapi solar power!!!Kuhusu 1/3 ya eneo kutumika usipinge bila kuwa na labda mabadiliko ya leo,otherwise eneo lililotengwa ndio hilo,1/3 ya eneo zima la hifadhi.
 
Si mpaka wawape fedha au wawauzie hiyo mitambo!!!!!!!!!!!
Wenyewe kama hawataki uwezi fanya kitu ni siasa zilizokidhiri ndugu yaung.
Yetu macho na masikio ngoja tungojee tuone hiyo GWs hydropower plant.
 
Hii serikali ni yake... muacheni afanye awezavyo..
Noma ni kuwa Katibu Mkuu maliasili ndo amepewa jukumu la kuhakikisha mradi unatekelezeka..!
Umeme na Maliasili ?
Hii Jambo si linapaswa kuwa chini ya Wizara ya Nishati ambao wanatakiwa kuwa wasimamz wakuu kwa kushirikiana na Wizara zingine....

Chief Economist
 
Ila gesi tuliambiwa mambo yatakua mazuri sijajua imefikia wapi
 
Try to persuade us by clearly showing us the negative impact of this project on the said game reserve. Otherwise, you remain nothing but a disposable heckler.
 
Tangu zamani WB ilikuwa inazuia uwekezaji kwenye hep na tanesco kuzalisha umeme moja kwa moja badala yake ikishauri umeme kuzalishwa na matapeli. Ndio godfather wa pan africa energy, richmond, iptl, aggreko, nk. Ukiwasikiliza hao jamaa nchi inakwisha

Tutaomba Uturuki
 

HEP inatoa carbondioxide tokea wapi.? Chanzo cha hiyo carbondioxide katika HEP ni nini.?
 
HEP inatoa carbondioxide tokea wapi.? Chanzo cha hiyo carbondioxide katika HEP ni nini.?
Soma acha uvivu,mtembelee hata profesa Google atakujibu
 
Try to persuade us by clearly showing us the negative impact of this project on the said game reserve. Otherwise, you remain nothing but a disposable heckler.
Your comment shows that you have a Big Thing disturbing you down there.
 
Hivi ni 1/3 au ni 3%? Unajua 1/3 is almost 33%?
 
Mkuu hii uliyoweka wewe ndio inaingia akilini na sio ile 1/3 ni eneo kubwa sana ukizingatia ukubwa wa selous!!!
1/3=0.333..
3%=3/100=0.03 hapo unaweza kuona tofauti kubwa kimahesabu. Mleta mada nahisi kakosea kunukuu hiyo namba.
Mkuu, 1/3 sio 0.33% bali ni 33%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…