Ujenzi wa Skuli za Ghorofa

Ujenzi wa Skuli za Ghorofa

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
Matayarisho ya kesho ni lazima yafanywe Leo kwa mbinu na nguvu zote ili Kesho inapofika tuwe tayari kwa mapambano, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi aliliona hilo tangu awali alipokuwa akijinadi kugombea kiti cha Urais Zanzibar na ndipo hivi leo akawekeza katika Elimu kwa kujenga shule za Ghorofa zenye hadhi.

@jlkzanzibar #janaleokesho #jlkzanzibar #janaleonakesho #miakamiwili #miakamiwiliyaraisdkmwinyiView attachment 2416648
IMG-20221114-WA0083.jpg
 
Ghorofa kwa shule ni matumizi bora ya Fedha ila ni matumizi duni na hafifu ya ardhi
 
Back
Top Bottom