kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 17,565
- 21,211
Safi sana.Hiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503
Kuna wengine wanapenda kutishia watu n mabei yao tu
Safi sana.Hiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503
Hongera mkuu, kila hatua ni Kheri katika MaishaHiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503
Mim pia nahitaji kujenga slopu ya muda tu, ila pia iwe na vyumba vitatu vya kulala na sebule. Ni kama hiyo namba 7. Milion 5 itatosha?Hadi 3.5m inawezekana per rum ya kisasa . Kama ukijenga rum 7 kwa mara 1
Inatosha anza ujenzi.Mim pia nahitaji kujenga slopu ya muda tu, ila pia iwe na vyumba vitatu vya kulala na sebule. Ni kama hiyo namba 7. Milion 5 itatosha?
Sawa mkuu. Mambo ni mengi sanaInatosha anza ujenzi.
Finali ya uzeeni ni hatar aseeKujenga ni kuzika pesa, tunyweni bia mazee.
Chukua eneo la nyumba yako yaani jumla ya eneo lote la nyumba yako zidisha Mara laki Saba ndio itatosha. Mana kwa iyo 7m inatakiwa eneo lako jumla ya eneo katika meta za eneo ziwe kuanzia 10-14 ,Mana huwa eneo moja la mita za eneo moja gharama Ni 500k -700k kwa makadirio so ukichukua hela yako Hawa kwa 500/700 unapata eneo la nyumba yako linatakiwa liwe minimum 10 meta za eneo mpaka 14 meta za eneo mkuu ndio gharama ya ujenzi iliyopo. Huku Ni numbers tu and numbers don't lieBajeti yangu Ni tsh 7milion, wazoefu wa Nyumba rahisi, naomba ushauri is it possible?
Chukua chumba eneo lake ama eneo la nyumba yote zidisha kuanzia 500k -700k ndio gharama ya meta moja za eneo katika nyumba yako. So Kama una 28M divide by 700k so utapata square metre around 280/7 =56 meta za eneo hii eneo Ni kubwa mno hata tembo na twiga wanaishi miaMim pia nahitaji kujenga slopu ya muda tu, ila pia iwe na vyumba vitatu vya kulala na sebule. Ni kama hiyo namba 7. Milion 5 itatosha?
Uzeeni sio kila mtu atafika.Finali ya uzeeni ni hatar asee
WE JENGA BANABajeti yangu Ni tsh 7milion, wazoefu wa Nyumba rahisi, naomba ushauri is it possible?
HII NINGEKUWA NDAN HIV SASA....CHINI NAMWAGA SAFI KAMA ILIVYO NAANZA VYUMBA MUHIMU ANYANYUKA MPAKA NIINGIE NDAN.UKIWWA NDAN UNANYANYUA VINGINEHiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503
Vyoo vyembamba sana hiz ndio zile nyumba ukiwa toilet unakata gogo arufu inajaa chumba kizima 😂😂😂Hiyo L yangu hadi apo zimekatika 5.5M
Ina vyumba vi3, kimoja masta, sebule moja na public toilet moja
View attachment 2343503
kabisa kabisa ila cha muhimu kuanza kujenga au kukusanya vifaa ... Mzaye aendelea kupambana kuongeza pesa ajenge nyumba bora na siyo bora nyumba.Jitahidi uongeze mzee walau ufike 15m hapo unaweza ukaezeka, ukabaki zoezi la Finishing, Madirisha na Milango