Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,743
Hello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 22.5 million, kiwanja kipo tayari na mazingira ya ujenzi ni mkoa wa Mara.
Je, kwa budget hiyo katika ujenzi wa mwanzo, fence hadi finishing..., je naweza kujenga nyumba ya ukubwa gani, vyumba vingapi, kiwango gani, etc?
Je, kwa budget hiyo katika ujenzi wa mwanzo, fence hadi finishing..., je naweza kujenga nyumba ya ukubwa gani, vyumba vingapi, kiwango gani, etc?