Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,778
Wakuu natanguliza salamu
Bila shaka mnakumbuka hili sakata la waliofukuzwa magomeni kota na baadaye Dr Magufuli akaamua zijengwe ghorofa na wahanga wapewe kipaumbele.
Sasa kwa vile imebainika kwamba ujenzi wa ghorofa za bei rahisi haiwezekani , kutokana na ushahidi mwanana wa hostel za UDSM , nashauri ili kuepusha maafa ujenzi wa maghorofa haya uchunguzwe
Bila shaka mnakumbuka hili sakata la waliofukuzwa magomeni kota na baadaye Dr Magufuli akaamua zijengwe ghorofa na wahanga wapewe kipaumbele.
Sasa kwa vile imebainika kwamba ujenzi wa ghorofa za bei rahisi haiwezekani , kutokana na ushahidi mwanana wa hostel za UDSM , nashauri ili kuepusha maafa ujenzi wa maghorofa haya uchunguzwe