Layman thinking: Uchawi au wanatoa sadaka kwa mizimu
Kwa nnavyojua... Sababu mara nyingi ni hizi..
Sababu ya kwanza: Muda wa mchana joto linakua juu hali inayopelekea zege/concrete kushindwa kufikia ubora unaotakiwa, in short ubora wa zege unaathiriwa temperature.
Sasa ili kukwepa hali hiyo wakandarasi wanalazimika kumwaga zege jioni au usiku muda ambao joto liko chini.
Sababu ya pili: Ku meet deadline, kila mradi anaopewa mkandarasi anapewa muda mfano miezi mitatu, sasa chukulia wewe ni mkandarasi na ushatumia mwezi na nusu na kazi haijafika hata nusu, hapo lazima upige kazi mpaka usiku ili kuhakikisha kazi inaisha ndan ya muda ulio pangiwa...