jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Tundu lissu mara baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa TLS aliahidi kusimamia ujenzi wa jengo la chama hiki cha wanasheria ...Ujenzi wa jengo hilo ungegharimu kiasi cha shilingi bilioni 3 na mkandarasi alikabidhiwa ramani na uongozi wa TLS wakati huo.
Baada ya misukosuko iliyomkumba lissu hatimaye uongozi mpya ulichaguliwa na sasa alipewa mwanamama maaurufu huko twitter akijiita shangazi wa Taifa kuendelea na uongozi wa TLS .
Swali langu linahusu kutaka kujua updates za ujenzi huu wa jengo la Makao makuu ya TLS
Baada ya misukosuko iliyomkumba lissu hatimaye uongozi mpya ulichaguliwa na sasa alipewa mwanamama maaurufu huko twitter akijiita shangazi wa Taifa kuendelea na uongozi wa TLS .
Swali langu linahusu kutaka kujua updates za ujenzi huu wa jengo la Makao makuu ya TLS