Juma Masudi mbalazi
Member
- Feb 20, 2016
- 13
- 3
Umenena mkuu
Na kwa taarifa yako huo ujenzi usha pigwa chini hakuna kinacho endelea kwa sasawakuu kweli mwanza tumeachwa mbali sana na dar kimaendele na ninazani tuko miaka 20 nyuma kimaendeleo kwa dar eti leo hii mwanza ndio ujenzi unaendelea wa kujenga ghorofa refu kuliko yote hapa litakua na ghorofa 16 toka usawa wa ardhi nssf capripoint
Usivyo na akili umemuattack kabla ya kujionea huko Brunei kuna nini!?.. Hebu mfatirie na Zitto kwenye account yake Insta uone mfano wa barabara walizomsaidia jenga toka Sweden/Holland!.We nae unaumwa ghorofa siyo huduma za jamii issue ya makazi inaielewa kweli!
Ka998ozs8maWa mikoni bwn, yan wanashindanisha urefu wa maghorofa hahaha