Ujenzi wa ghorofa refu kuliko yote Mwanza unaendelea

Ujenzi wa ghorofa refu kuliko yote Mwanza unaendelea

jiwe la maji

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
1,062
Reaction score
705
Wakuu kweli Mwanza tumeachwa mbali sana na dar kimaendele na ninazani tuko miaka 20 nyuma kimaendeleo kwa Dar eti leo hii Mwanza ndio ujenzi unaendelea wa kujenga ghorofa refu kuliko yote hapa litakua na ghorofa 16 toka usawa wa ardhi NSSF capripoint
 
Asee Mkuu..Kwani Maendeleo Kwako ni Maghorofa?

Nadhani tunahitaji Huduma za kijamii zaidi kuliko Maghorofa..

Mkuu jaribu kufanya utafiti kidogo Kwa Nchi ya Brunei...Naamini Utajifunza kitu.
 
wakuu kweli mwanza tumeachwa mbali sana na dar kimaendele na ninazani tuko miaka 20 nyuma kimaendeleo kwa dar eti leo hii mwanza ndio ujenzi unaendelea wa kujenga ghorofa refu kuliko yote hapa litakua na ghorofa 16 toka usawa wa ardhi nssf capripoint

Raha yako wewe nikuona hayo maghorofa kwa nje huna hata faida nayo ulimbukeni kwa mbele
 
Asee Mkuu..Kwani Maendeleo Kwako ni Maghorofa?

Nadhani tunahitaji Huduma za kijamii zaidi kuliko Maghorofa..

Mkuu jaribu kufanya utafiti kidogo Kwa Nchi ya Brunei...Naamini Utajifunza kitu.

Ndio Yaleyale Ya Foleni Ya Magari Ni Ishara Ya Maendeo From Prof Jk
 
wadau mmenishambulia lakini mjue hayo majengo makubwa ni moja ya vitegauchumi hivyo vinaongeza ajira kwanza kwa mafundi na pia biashara zitakazofanyika humo angalia majengo ya nssf, ppf na mengine yameongeza ajira kias fran japo viwanda vingefaa zaid
 
Hivyo ndivyo itakavyokua
 

Attachments

  • 1417597132669.jpg
    1417597132669.jpg
    88.2 KB · Views: 1,501
Muonekano mshazari

Kasi ya ukuwaji wa miji yetu bado ipo chini sana. Taasisi zenye pesa, serikali pamoja, mashirika ya pasion pamoja bado wanaangalizia dar es salaam pekee na sio mikoa mingine ndiomana dar es salaam inakuwa kwa kasi ya ajabu tofauti na mikoa mingine
 
Asee Mkuu..Kwani Maendeleo Kwako ni Maghorofa?

Nadhani tunahitaji Huduma za kijamii zaidi kuliko Maghorofa..

Mkuu jaribu kufanya utafiti kidogo Kwa Nchi ya Brunei...Naamini Utajifunza kitu.

We nae unaumwa ghorofa siyo huduma za jamii issue ya makazi inaielewa kweli!
 
ujenzi huu umefikia hatua gani, walio mwanza tupeni taarifa
 
Back
Top Bottom