Ujenzi wa daraja la juu la wapita kwa miguu Buguruni, Je! Halitaleta mkanganyiko!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
20,479
24,348
Nimepita Leo Buguruni na kuyaona maandalizi ya ujenzi wa daraja la ghorofa la wapita kwa miguu ukiendelea!, swali langu je ujenzi huu hautakuja kusababisha taharuki mara baada ya ujenzi wa flyover kuanza?

Hofu yangu ni HASARA YA UVUNJAJI INAYOWEZA KUTOKEA NDANI YA MUDA MFUPI.
 
the height of flyover resemble height of......./
lazima kimoja lazima kitavunjwa kupisha kingine!
 
Nani kawaambia buguruni kuna flyover itajengwa?
Pale Tazara inayonyuka ni Nyerere road tu na kupanuliwa kidogo hiyo Mandela road
 
hasa kama buguruni sheli pakiachwa vile vile hayo magari yakipita kwa kasi tazara yote si yatakuja kukwamia buguruni
 
Nani kawaambia buguruni kuna flyover itajengwa?
Pale Tazara inayonyuka ni Nyerere road tu na kupanuliwa kidogo hiyo Mandela road
..ipo flyover itakayoanzia tazara mpaka ubungo./
kama uliwahi ona video yao ichunguze!
 
Nani kawaambia buguruni kuna flyover itajengwa?
Pale Tazara inayonyuka ni Nyerere road tu na kupanuliwa kidogo hiyo Mandela road
Unachanganya kati ya 'Tazara flyover' na 'Buguruni footbridge'. Project zote mbili zinatekelezwa, ya Buguruni footbridge hata mimi nimeona wameanza excavation pale. Mwenye picha tafadhali
 
Nilipita pale nikaona excavator likichimba ila sikujua wanafanya nini as hakukuwa na kibao kuonyesha ni project gani inaendelea.
Itakuwa busy, hasa wakati wa ujenzi wa tazara flyover.
 
Jamani ile inayojengwa pale TAZARA inaitwa Upper Passage,tembelea nchi za watu uone FlyOver za ukweli!
 
Jamani ile inayojengwa pale TAZARA inaitwa Upper Passage,tembelea nchi za watu uone FlyOver za ukweli!


Inayojengwa pale Tazara ni flyover hata ukipenda unaweza sema ni upper passage; na muhimu kutofautisha tofautishe na kitu inaitwa "road interchanges". Hapa chini naweka video clip za Tazara flyover na Ubungo flyover.





 
Nilipita pale nikaona excavator likichimba ila sikujua wanafanya nini as hakukuwa na kibao kuonyesha ni project gani inaendelea.
Itakuwa busy, hasa wakati wa ujenzi wa tazara flyover.

Kibao cha ujenzi wa daraja la wapita kwa miguu pale Buguruni kipo tangu Agosti mwakajana 2015.
 
Ipo hivi huwezi weka flyover tazara kisha buguruni waenda kwa miguu wavuke chini,sababu baada tu ya ujenzi wa flyover kukamilika pale buguruni itakua sio sehemu salama kwa waenda kwa miguu kuvuka chini hivyo lazima kuwe na namna salama kwa wavukaji barabara kwa miguu.
 
Nadhani serikari ingeweka hivi vivuko vya miguu vya kutosha kupunguza ajali kwa watumia barabara kwa miguu.
 
[QUOTE="BigBro, post: 15106210, member: 20837kibao cha ujenzi wa daraja la wapita kwa miguu pale Buguruni kipo tangu Agosti mwakajana 2015.[/QUOTE]
Nimeona kimeng'olewa ili kupisha excavation, kipo chini
 
Back
Top Bottom