Jamani kuna swali moja huwa najiuliza,hivi ni kwanini barabara ya kimara inabomolewa baadhi ya maeneo na ilikuwa nzuri?Kama ni kupisha ujenzi wa njia ya magari yaendayo kasi kwanini hilo halikuangaliwa wakati wanajenga mara ya kwanza?Ina maana hata plan huwa hakuna?Kwani naamin hii barabara sidhani kama ni muda mrefu tokea ijengwe!Haya sio matumizi mabaya ya pesa?