Ujenzi wa barabara za kasi

Ujenzi wa barabara za kasi

Lord K

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
213
Reaction score
37
Ni kero baada ya kero..sijui kwanini hawajengi usiku..wanajenga baada ya muda wanabomoa...wanavunja wanaacha vumbi wanaondoka...kiukweli watumiaji wa morogoro rd ni kero sio kidogo...
 
Wanasubiria uchaguzi 2015,iwe ni moja ya sera Yao,watasema...

'Mkituchagua tutamalizia Morogoro road'
 
jamaa hawajajipanga kivile sana...kwenye ujenzi ....hawajengi in smart way
 
Ni kero baada ya kero..sijui kwanini hawajengi usiku..wanajenga baada ya muda wanabomoa...wanavunja wanaacha vumbi wanaondoka...kiukweli watumiaji wa morogoro rd ni kero sio kidogo...

is this a precisely, right and correct jukwaa for ur thread sir/madam?
 
Dar hakuna usiku wala mchana wote sawa tu. Kama unaona kero hamia Mikoani ujenzi ukiisha unarudi. Tunalalamika barabara zikijengwa mnaanza kulalamika mavumbi. Ili maendeleo yapatikane lazima wengine waumie au wapate kero kama wewe
 
Dar hakuna usiku wala mchana wote sawa tu. Kama unaona kero hamia Mikoani ujenzi ukiisha unarudi. Tunalalamika barabara zikijengwa mnaanza kulalamika mavumbi. Ili maendeleo yapatikane lazima wengine waumie au wapate kero kama wewe

hawa watakuwa wamekuja mjini morogoro road iko four lanes,ally hassan mwinyi[new bagamoyo/upanga road] iko four lanes,kawawa[morocco road] iko four lanes,hio morogoro road wakati inawekwa lami na MECCO[hio ni kabla KAJIMA hawajaitanua kuwa four lanes] miaka hio ilifungwa kabisa watu wakawa wanazunguka kigogo kule itakuwa leo strabag wanajenga huku mnapita......maana yangu ni kuwa hawakuwahi kuona major road construction....hakuna mtu anaweza kujenga barabara ukubwa huo wa project kama DART system halafu isilete usumbufu....huko kwenye alternative routes wakijenga wanapata shida je sisi ambao njia kuu mjini ni tatu kweli usumbufu usiwepo??!!sasa mnatakaje,kama hamtaki usumbufu ina maana msijengewe barabara......
 
msaada tafadhali .. maeneo ya posta kule hali ikoje. sijaenda mda na nina mpango wa kwenda karibuni.

bibi titi pakoje? au ukitokea uhuru road unaweza kuingia mjini kwa njia ya bibi titi?
 
msaada tafadhali .. maeneo ya posta kule hali ikoje. sijaenda mda na nina mpango wa kwenda karibuni.

bibi titi pakoje? au ukitokea uhuru road unaweza kuingia mjini kwa njia ya bibi titi?

usije mjini ....
 
Huu usumbufu wa kutoka feri hadi mnazi ndio unakuta daladala hauelezeki wacheni hiyo habari nimeshamaliza viatu jamani ni balaa unatembea hamna gari la feri tena aisee tabu sana jamani
 
Dar hakuna usiku wala mchana wote sawa tu. Kama unaona kero hamia Mikoani ujenzi ukiisha unarudi. Tunalalamika barabara zikijengwa mnaanza kulalamika mavumbi. Ili maendeleo yapatikane lazima wengine waumie au wapate kero kama wewe

Hujui unachosema wewe!utakuwa unakaa somewhere ambapo huitumii morogoro road!uliza yeyote anayeitumia hii barabara akuambie!
Tuacheni utani,jamaa hawako smart kwenye kufanya diversion na pia wameirarua rarua hii bara bara bila mpango kias kwamba sehemu nyingine wameziba unnecessary.
 
barabara za kasi ndio barabara za aina gani
katika barabara ya morogoro road wapo , leo nimeingia dar katika mizunguko yangu imebidi nitembee kwa miguu badala ya gari , ingawa changamoto ni una sweat sana maaana unapoteza muda mwingi bila sababu
 
msaada tafadhali .. maeneo ya posta kule hali ikoje. sijaenda mda na nina mpango wa kwenda karibuni.

bibi titi pakoje? au ukitokea uhuru road unaweza kuingia mjini kwa njia ya bibi titi?

Hairuhusiwi ukitokea njia yeyote isipokuwa Kigamboni tu. Pia maeneo ya Posta hutakiwi kuvaa viatu
 
hawa watakuwa wamekuja mjini morogoro road iko four lanes,ally hassan mwinyi[new bagamoyo/upanga road] iko four lanes,kawawa[morocco road] iko four lanes,hio morogoro road wakati inawekwa lami na MECCO[hio ni kabla KAJIMA hawajaitanua kuwa four lanes] miaka hio ilifungwa kabisa watu wakawa wanazunguka kigogo kule itakuwa leo strabag wanajenga huku mnapita......maana yangu ni kuwa hawakuwahi kuona major road construction....hakuna mtu anaweza kujenga barabara ukubwa huo wa project kama DART system halafu isilete usumbufu....huko kwenye alternative routes wakijenga wanapata shida je sisi ambao njia kuu mjini ni tatu kweli usumbufu usiwepo??!!sasa mnatakaje,kama hamtaki usumbufu ina maana msijengewe barabara......
Mkuu Cleverly heshima yako! Umenkumbusha enzi za MECCO miaka ya '80s wakijenga pale jangwani na viloba vya kifusi, wakati huo barabara inafungwa mwezi! Halafu masika inayofuata vinabomoka.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Cleverly heshima yako! Umenkumbusha enzi za MECCO miaka ya '80s wakijenga pale jangwani na viloba vya kifusi, wakati huo barabara inafungwa mwezi! Halafu masika inayofuata vinabomoka.

sasa hawa wamekuja mjini juzi wanalalamika STRABAG kuwasumbua huku wamewaachia njia ya kupita....hio ingefungwa kabisa mpite vichochoroni huko......
 
Back
Top Bottom