LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,320
- 1,085
tulijengewa na MECCO hiyo Balabala toka Magomen mpaka Fire njia ilifungwa miezi 6 twapita kigogo..Salender..hao wazuri ndio waliojenga MANDELA ROAD hao hiyo Balabala ina Kazi nyingi kwa wakati 1 ndio maana wapo ivyo
Naona mnalalamika sana.
Nitarudi baadae kuchangia vizuri
Ila tatizo la wabongo wao wanapenda kuona lami inamwagwa siku ujenzi unapoanza, kumbe hiyo ni hatua ya mwisho kabisa.
huko kwao inawezekana ni kampuni kubwa lakini hizi branch ama franchise zao ni bomu...utaibomoa vp 35 kms road the uje uanze kuimaliza kwa pamoja?
its seems hawa kuplan mapema, hawakujua madhara ya ufungaji wa this road,
Sikatai...lakini ninachosema kutakuwa na sababu nyingi tu kwanini zege limechelewa kumwagwa. Kwa mfano, zege linalotumiwa sio la kuchanganya mifuko ile ya 50kgs tuliyozoea. Ni zege special ambalo likely linatoka Wazo (Twiga Cement) for special order in some x metric tons. How come Wazo cannot deliver ? Hatujui.Kunaweza kuwa na sababu milioni. Huo ni mfano mmoja tu.
Point yangu ni kwamba lazima tuangalie msururu wote katika supply-chain ili kujua kwanini mradi unasuasua na ndiyo maana nasema sababu za kusuasua huko "most likely" zitakuwa zimesababishwa na sisi wenyewe wabongo.
tulijengewa na MECCO hiyo Balabala toka Magomen mpaka Fire njia ilifungwa miezi 6 twapita kigogo..Salender..hao wazuri ndio waliojenga MANDELA ROAD hao hiyo Balabala ina Kazi nyingi kwa wakati 1 ndio maana wapo ivyo
Nahisis DSM huijui au maeneo ya Ubungo hadi Magomeni hupajui, kuna njia nyingi sana za mitaa ambazo zikikarabatiwa kidogo tu, basi kuanzia pale yrafiki inakuwa siyo issue, njia ni nyingi sana mkuu
Wadau, naelewa adha na hasira inayowapata lakini kuna facts nyingine tuzifahamu:
1. Strabag sio kampuni ya kujenga barabara kiwango duni. It is a 10+ billion euros company (revenue alone), employing over 76,000 staffs worldwide.
2. Strabag imeshafanya projects nyingi na kubwa ulimwenguni (e.g.Germany,UAE,Malaysia,Denmark,Libya,Cameroun,Rwanda, etc) ambazo ni kubwa kuliko hiyo project ya Dar.
3. Strabag wanatumia latest construction technologies -na kwa hili nyie ni mashahidi ya vifaa wanavyotumia kujenga hiyo Kimara-Jangwani stretch.
Ingawa sitetei kucheleweshwa ujenzi kutokana na adha watumizi tunazopata lakini kutoka na history na weledi wa kampuni kuna sababu nyingine zinazoleteleza na I can bet you zinaweza kuwa ni sisi (waTz) tunasababisha. Mfano unaweza ukakuta kuna baadhi ya vitu vimekwama bandari kwetu kutokana tu na urasimu usio na msingi.
There could numerous reasons as to why the project is stalled but the point I am trying to make is that STRABAG is a very serious company that can deliver.
Nimeweka links hapa chini na brochure that I sourced from their website.
STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
njia za mitaa ni kazi ya halmashauri za manispaa, sio lawama kwa mkandarasi tena
Naona mnalalamika sana.
Nitarudi baadae kuchangia vizuri
Ila tatizo la wabongo wao wanapenda kuona lami inamwagwa siku ujenzi unapoanza, kumbe hiyo ni hatua ya mwisho kabisa.
nakubaliana na wewe mkuu...jamaa Wapo vizuri kitechnologia na vifaa..hata malalamiko ya Mtoa thread hayajaangalia vigezo vingi..kumbuka Ujenzi Wa Mandela roadWadau, naelewa adha na hasira inayowapata lakini kuna facts nyingine tuzifahamu:
1. Strabag sio kampuni ya kujenga barabara kiwango duni. It is a 10+ billion euros company (revenue alone), employing over 76,000 staffs worldwide.
2. Strabag imeshafanya projects nyingi na kubwa ulimwenguni (e.g.Germany,UAE,Malaysia,Denmark,Libya,Cameroun,Rwanda, etc) ambazo ni kubwa kuliko hiyo project ya Dar.
3. Strabag wanatumia latest construction technologies -na kwa hili nyie ni mashahidi ya vifaa wanavyotumia kujenga hiyo Kimara-Jangwani stretch.
Ingawa sitetei kucheleweshwa ujenzi kutokana na adha watumizi tunazopata lakini kutoka na history na weledi wa kampuni kuna sababu nyingine zinazoleteleza na I can bet you zinaweza kuwa ni sisi (waTz) tunasababisha. Mfano unaweza ukakuta kuna baadhi ya vitu vimekwama bandari kwetu kutokana tu na urasimu usio na msingi.
There could numerous reasons as to why the project is stalled but the point I am trying to make is that STRABAG is a very serious company that can deliver.
Nimeweka links hapa chini na brochure that I sourced from their website.
STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
Mkuu update data base yako, hao Konoike hawajawahi kutengeneza barabara ya Kilwa, pengine ulimaanisha Kajima.Ukweli hawa jamaa wanaojenga hii barabara ya morogoro kutoka ubungo mpaka city centre ni third class, yaani wana create unnecessary folini mji mzima
style yao inasababisha kero kubwa kwani wameanza kuivunja bara bara yote bila ya kuweka alternative roads na pia hawajali kuongoza magari
tumewahi kuona ujenzi wa bara bara zote za dar es salaam kuanzia city centre mpaka kariakoo lakini haikua kama hivi
wale jamaa walikua wanamaliza kipande kimoja baada ya chengine , wakimaliza section moja wanaanza pengine
lakini stye hii ya kuvunja barabara muhimu yenye zaidi ya kilomita 35 hii inaonesha wazi hawa jamaa hawana uzoefu wa kufanya kazi ndani jiji lenye harakati
tunaomba tanroads na city waingile kati ..kabla hawaja shindwa kama konoike na barabara ya kilwa
Wadau, naelewa adha na hasira inayowapata lakini kuna facts nyingine tuzifahamu:
1. Strabag sio kampuni ya kujenga barabara kiwango duni. It is a 10+ billion euros company (revenue alone), employing over 76,000 staffs worldwide.
2. Strabag imeshafanya projects nyingi na kubwa ulimwenguni (e.g.Germany,UAE,Malaysia,Denmark,Libya,Cameroun,Rwanda, etc) ambazo ni kubwa kuliko hiyo project ya Dar.
3. Strabag wanatumia latest construction technologies -na kwa hili nyie ni mashahidi ya vifaa wanavyotumia kujenga hiyo Kimara-Jangwani stretch.
Ingawa sitetei kucheleweshwa ujenzi kutokana na adha watumizi tunazopata lakini kutoka na history na weledi wa kampuni kuna sababu nyingine zinazoleteleza na I can bet you zinaweza kuwa ni sisi (waTz) tunasababisha. Mfano unaweza ukakuta kuna baadhi ya vitu vimekwama bandari kwetu kutokana tu na urasimu usio na msingi.
There could numerous reasons as to why the project is stalled but the point I am trying to make is that STRABAG is a very serious company that can deliver.
Nimeweka links hapa chini na brochure that I sourced from their website.
STRABAG SE - BUILDING VISIONS. BUILDING VALUES. BUILDING EUROPE.
huko kwao inawezekana ni kampuni kubwa lakini hizi branch ama franchise zao ni bomu...utaibomoa vp 35 kms road the uje uanze kuimaliza kwa pamoja?
its seems hawa kuplan mapema, hawakujua madhara ya ufungaji wa this road,