Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 662
- 851
Interchange ya Kibamba CCM kama inavyoonekana sasa baada ya kukamilika.
Wale wapuuzi waliokuwa wanasema "Mambo yasiyo na baraka za wananchi hayakamiliki" wako wapi?
Sijui ni wananchi gani hao ambao hawataki kubariki maendeleo kama haya?
Acheni kabisa Dr. John Magufuli, tumepoteza jembe la ukweli sana.
Wale wapuuzi waliokuwa wanasema "Mambo yasiyo na baraka za wananchi hayakamiliki" wako wapi?
Sijui ni wananchi gani hao ambao hawataki kubariki maendeleo kama haya?
Acheni kabisa Dr. John Magufuli, tumepoteza jembe la ukweli sana.