Kuna ujenzi wa barabara/stendi Ko gowe unaendelea hivi sasa .Hivi sasa ni miezi kibao kama sita hivi imepita kazi inayofanyika hapo haijulikani ni kazi gani.Kuna magari na makatapila yapo hapo kila siku yanazunguka tu na kusababisha msongomano wa magari na kukaribisha ajali. Haijulikani huu ni mradi gani wa ajabu ambao wafanyakazi wanazunguka tu na kazi ikiwa iko vile vile kila siku.
Kama ni serkali ndio iliopanga mradi huo kanyaboya kwa maana haufanyiwi matengenezo yeyote basi ni bora wangejipanga kwanza kuliko kwenda pale kila siku kuota jua na kupoteza muda wao na huku wakisababisha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.
Tunawaomba wahusika waondoe magari na vifaa vingine hadi hapo watakapokuwa tayari kujenga hiyo stendi au barabara.
Kama ni serkali ndio iliopanga mradi huo kanyaboya kwa maana haufanyiwi matengenezo yeyote basi ni bora wangejipanga kwanza kuliko kwenda pale kila siku kuota jua na kupoteza muda wao na huku wakisababisha msongamano wa magari usiokuwa wa lazima.
Tunawaomba wahusika waondoe magari na vifaa vingine hadi hapo watakapokuwa tayari kujenga hiyo stendi au barabara.