UJENZI na shilingi 252 bilioni

Mkuu Nguruvi3, mimi bado nalia na wewe, yaani hujaona hata mmoja mmoja wa kutafuta?.
Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe, ila pia kwa bongo, uandishi ni noble professional, inafanywa kwa mapenzi na wito and not kwa ajili ya take home!.

Wako waandishi nawafahamu, waliospecialize, hawakurudi tena newsroom.
Hivi unajua Dr. Mlimka, Dr. Harison Mwakyembe, Dr. Sengodo Mvungi, Prof. Palamagamba Kabudi, Benjamin William Mkapa, Sammy Mdee etc, etc, wote hawa ni waandishi wa habari?. Waliondoka newsroom na kwenda ku specialize, hawakurudi tena newsroom kwa sababu hicho walicho specialize, paid them more!.

Kiukweli the going kwa waandishi wa habari, is very tough, and the tough is not going!. Watu wanaandika kwa mapenzi tuu no for returns, ukiondoa wale waliofika newsroom na kugota kwa sababu they have no where else to go, iko kada yetu ambao tunaandika au kuripoti just for the love of it!. Sisi ndio tunaopaswa kuspecialize but them for what?!.

Wakati wa cold war, nchi za East zimetrain Watanzania wengi sana katika fani ya media to masters level, wamerudi bongo wanafanya mambo mengine better paying jobs!. Sasa kama waliosomeshwa ndio hao wamekimbia, watakao specialize na kubaki ni kina nani?!.

We are doomed kwenye uchumi, we are doomed kwenye siasa, and we are doomed kwenye jamii media ikiwa among, doomed bongo media! Dam! ila hii ndio yetu!.

Msisitizo wa kutotutendea haki bado upo, appreciate hata hao wachache waliopo ili tuwapate wengi, ila we have few good ones, very good analysts na wengine ni pro, need not mention names!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…