Ujenzi: Kipi kinaanza, plaster au ceiling joists?

Namaanisha si mwisho wa siku zitazibwa na gypsum!

Sawa ila wakati wa kufunga bodi mara nyingi udongo huachia kutoka kwenye mbao na kubaki huko juu ya board sasa vent wire ikichoka akapita mjusi au panya utasikia kama manyanga juu ya dari. . . . . .inakera sana haswa usiku
 

Mkuu ameonyesha vizuri kabisa kwa picha. Sista kwa kifupi fiber inatumika kwenye maungio kati ya gypsum board moja na nyingine. Corner ni ile gypsum board yenye urembo inawekwa kwenye pembe, mkanda unakaa unaunganisha ukuta na gypsum board, na kunakuwa na gypsum powder inayoloweshwa na maji kutengeneza uji kuziba sehemu za fibre na kuficha misumari iliyotumika kugongelea gypsum board
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwani hilo box likiwepo kunashida gani?


Sina hakika kama umeangalia mchoro vizuri na kuelewa kile ninachokiongelea. Kwa upande wangu sipendi kwa sababu kinasababisha verander kuwa dull na labda kukosa ubunifu kwa upande wa wataalamu wetu wa ujenzi.

Vinginevyo hakina tatizo sana.
 
nisaidieni vifaa vya blending na kuweka gipsam HP1 Dengue KakaJambazi Dark City
kuna vifaa vinaitwa kona, mkanda na fiba sivielewi kabisa msaaada

Pamoja na picha nzuri alizobandika KakaJambazi, hivi vifaa vipo vingi kwenye maduka ya Wachina pale Kariakoo. Wasiliana na Fundi Bakari kwa ushauri zaidi na akusaidie kuyafikia hayo maduka.

Namba za Fundi Bakari ni 0754498893 au 0718824625
 
Mkuu ameonyesha vizuri kabisa kwa picha. Sista kwa kifupi fiber inatumika kwenye maungio kati ya gypsum board moja na nyingine. Corner ni ile gypsum board yenye urembo inawekwa kwenye pembe, mkanda unakaa unaunganisha ukuta na gypsum board, na kunakuwa na gypsum powder inayoloweshwa na maji kutengeneza uji kuziba sehemu za fibre na kuficha misumari iliyotumika kugongelea gypsum board

Asante HP1
 
Last edited by a moderator:
Ok, iko hivi,...kama nyumba yako ina veranda kwa nje (kibaraza) ambacho kitakuwa kimeshikiliwa na nguzo, basi lazima nguzo zijengwe kwa kusuka nondo na hizo nguzo zitaunganishwa na nyumba kuu kupitia kwenye linta box. Endapo utafanya hivo, ina maana baada ya linta basi itabidi kujengwa tofali ili kufikia usawa wa kupaulia. Hii itafanya kuta za nyumba kuu na kibaraza kuwa kwenye usawa ule ule wa kupaulia. Baada ya kuezekaa (endapo kibaraza hakijamiminwa zege), basi kutakuwa na uwazi unaofanana na box kuanzia pale kwenye linta hadi kwenye ceiling board.

Kwa maelezo hayo kama bado hujanielewa basi itabidi tuwasiliane nikutumia mchoro
Nimependa haya maelezo pia nimeangalia picha husika ila naomba kujua hasara za hiyo box na je ukiwepandisha box kwa juu varanda si itakuwa juu sana!!!
 
Kutokana na matufali yetu yasio kuwa na uimara, anza na ceiling ring, then angusha plaster
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom