The atlantic
JF-Expert Member
- Aug 1, 2023
- 458
- 783
Wasaslam.
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau
Nahitaji kujenga nyumba ya kawaida ambayo itakuwa na concrete roof. Je inafaa na Kama inafaa vipi gharama zake?
Kupaua kutumia concrete slab au mabati ipi ni nafuu. Karibuni wadau