Ujenzi Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) mkoani Mwanza wafikia asilimia 75

Hilo eneo lina return ya kutosha kiasi cha kutumia fedha zote hizo kwenye ujenzi wa hilo daraja?

NB:- Naomba mtu atakaye jisikia kunijibu, basi ajikite zaidi kwenye hoja yenye ushawishi. Maana sina uelewa wowote na hilo eneo la Kigongo-Busisi.
 
Hilo eneo lina return ya kutosha kiasi cha kutumia fedha zote hizo kwenye ujenzi wa hilo daraja?

NB:- Naomba mtu atakaye jisikia kunijibu, basi ajikite zaidi kwenye hoja yenye ushawishi. Maana sina uelewa wowote na hilo eneo la Kigongo-Busisi.
Ila siku mayatima na marehemu wengi wakifia kwenye vivuko hapo kutakuwa na return ya hao marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…