ze big
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 382
- 351
Habari wana jamvi. Leo nimeona niwashirikishe jinsi yakujenga ukuta ulio imara ili kuepuka hasara zitokanazo na kuboka kwa ukuts itakayopelekea kupoteza pesa zetu.
Kwanza kabla ya kujenga ukuta wowote lazima uhakikishe una plan za ujenzi na uweze kufanya uchunguzi wa ujenzi na gharama zake
Pili hakikisha unachimba msingi mrefu ili kuimarisha ukuta wako
Tatu andaa nondo zakutosha na cement pia itahitajika katika kuimarisha ukuta wako.
Matofali ni kitu cha msingi sana katika kujenga ukuta imara pia yasisahaulike katika kujenga ukuta.
Sidhani kama fundi ameshachimba msingi na ameweza kuweka foundation imara itashindikana kendelea kujenga ukuta kwa fundi ajaye maana mafundi wanaweza kubadilika ila plan ya ujenzi inaweza kuwa ileile. Hakikisha kuna cement yakutosha narudia tena nondo na maji ni muhimu sana..
Kwanza kabla ya kujenga ukuta wowote lazima uhakikishe una plan za ujenzi na uweze kufanya uchunguzi wa ujenzi na gharama zake
Pili hakikisha unachimba msingi mrefu ili kuimarisha ukuta wako
Tatu andaa nondo zakutosha na cement pia itahitajika katika kuimarisha ukuta wako.
Matofali ni kitu cha msingi sana katika kujenga ukuta imara pia yasisahaulike katika kujenga ukuta.
Sidhani kama fundi ameshachimba msingi na ameweza kuweka foundation imara itashindikana kendelea kujenga ukuta kwa fundi ajaye maana mafundi wanaweza kubadilika ila plan ya ujenzi inaweza kuwa ileile. Hakikisha kuna cement yakutosha narudia tena nondo na maji ni muhimu sana..