Ujaxiliamali

Mdogo'angu kwa mwandiko huo kuna mtu mwenye akili zake timamu atakuja kukushauri kweli?next time hiyo miandiko ya uso wa kitabu usiilete hapa hakuna mtu atafungua kitu kama hiki.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
Tumia akili matumizi ya x badala ya s kafanye facebook huku watu wazima huwezi kupata ushauri
 
Sawa boss nimekuelewa lakini kama umeelewa nini namanisha kwanini usitoe ushauli badala yakuniangushia matushi kama vile wewe hujawahi kosea kwenye maisha yako
Andika vizuri.
Namaanisha,Ushauri,Matusi,kukosea.

Nimekuelewa, lakini! Matumizi ya lugha inatakiwa wakati wa kuandika utumie alama muhimu ili kumnogesha msomaji, pia aelewe kama unamuuliza? au unamshangaa! n.k so nukta mkato,Mshangao na alama zinginezo zitumie ili mtu asomapo avute pumzi au ashangae au ashituke. Sio asome hadi achoke.
 
Kama umestaribika unaweza kaa ukafikiria kati yang Mimi nilie miss type katika maandishi na wewe unae nijia kwa kuniambia natiwa nani anajielewa basi mama ako ndio anatiwa
Unakasirika kwa lipi? Wewe umeelewa kutiwa nini kwani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom