Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,455
Kama Majasusi wa marekani wameweza kunasa mamilioni ya mawasiliano ya simu za viongozi wa nchi kubwa za ulaya kama ujerumani Angeller Markell na Ufaransa,je hali ikoje kwa mawasiloano ya ikulu ya Tanzania?