Wakuu,
Mwenzenu nimeamua kuingia katika ufugaji kama moja ya njia ya kuongeza kipato changu, na nitaanza na ufugaji wa FISI na BUNDI, nitakua nikiwauza abroad na kupata foreign currency ya kutosha, kesho nitaenda wizara ya maliasili na utalii kupata kibali.
Kikubwa naombeni ushauri na nasaha katika ufugaji huu.
Mwenzenu nimeamua kuingia katika ufugaji kama moja ya njia ya kuongeza kipato changu, na nitaanza na ufugaji wa FISI na BUNDI, nitakua nikiwauza abroad na kupata foreign currency ya kutosha, kesho nitaenda wizara ya maliasili na utalii kupata kibali.
Kikubwa naombeni ushauri na nasaha katika ufugaji huu.