Bado sijajua inakuwa vipi kama watu wa vijijini tarime wanajua maana ya mabadiliko lakini mtu wa mjini kama dar au miji mingine mikubwa bado wamekuwa ving'ang'anizi wa CCM.Kuna watu walikuwa mashabiki wakubwa wa Obama wakati wa kampeni zake lakini hao hao hawataki kusikia mabadiliko yanatokea Tanzania kwa CCM kuwekwa kando.Sijui ni upunguani au nini