UJANJA: Mke kafaulu kuficha SMS ya mchepuko

UJANJA: Mke kafaulu kuficha SMS ya mchepuko

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,569
Hali isiyo ya kawaida: siku moja mke alitumiwa SMS ya kukataliwa na aliekua mchepuko wake. Aliisoma mbele ya mumewe na akaanza kulia alipoona amepigwa chini na mchepuko wake huo.

MUME: Mbona unasoma kwa huzuni hiyo SMS hadi unalia?
MKE: Mama amenitumia SMS akinifundisha kupika pilau na nilipofika hatua ya kukata vitunguu ndio vikaniliza kama ilivyotabia ya vitunguu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom