KoffiYardley
Senior Member
- Dec 2, 2021
- 131
- 162
Ujamaa ulishaenda na maji. Hili la Kujitegemea nalo tushindwe baada ya mika 60+ ya Kujijengea uwezo? Dhana ya kuacha kujitegemea wenyewe na mbadala wake ukiwa ni "kuendeshewa" biashara zetu kama usafiri, bandari na huduma zingine kwa kisingizio chochote kile imesheheni tabia za kijangwani jangwani vile.
Uvivu wa kila aina na nadhani pia kufanyiwa kazi na wengine. TANU - chama cha kitaifa cha Waafrika kilidhamiria kufikia malengo ya kujitegemea ili pamoja na mengine suala la sovereignity yetu isiwe na ukakasi. Down the memory lane. We acha tu!
Uvivu wa kila aina na nadhani pia kufanyiwa kazi na wengine. TANU - chama cha kitaifa cha Waafrika kilidhamiria kufikia malengo ya kujitegemea ili pamoja na mengine suala la sovereignity yetu isiwe na ukakasi. Down the memory lane. We acha tu!