Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama

Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama

Ni nani alishuhudia Wahy wa Mtume?.
Tuamini yeye tu asemayo?.

Hakuna shuhuda. Wa kuona wala kusikia. Kwanini mnamuamini?.



Wenye uelewa wanaona nan yuko na mantiki zaid 😁😁😁😁.

Umeandika , nakunukuu ;


Anzia mstar wa 1.
Mm nakuwekea huu.

Mwanzo 18:9-10
[9]Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani. HUYU NANI ANAYESEMA: Wakamwambia

[10]Akamwambia, Hakika nitakurudia wakati huu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume. Sara akasikia mlangoni pa hema iliyokuwapo nyuma yake. Huyu nani anayesema :Akamwambia
 
Unahamisha Hoja naona.
Hoja ni mashahidi na sio nani aliandika.

Wanafunz watatu wa Yesu , walikuwa na Yesu muda mwing wameandika vitabu na hamviamini. Mnatakaje?

Umenifanya niwaze hili.😎😎😎👇👇👇
Mohamed alikuwa hajui kusoma wala kuandika. Alisomea wahyi maswahaba wake na wao wakandika.
Una amini vipi maandish ya kuandikwa na mtu ambaye hakuwepo wala hajashuhudia?.
Yaan kaambiwa tu na akaandika?.

Wanafunz watatu wa Yesu , walikuwa na Yesu muda mwing wameandika vitabu na hamviamini. Mnatakaje? Lete ushahidi Please wa hao wanafunzi kuandika vitabu
 
Umeandika , nakunukuu ;


Anzia mstar wa 1.
Mm nakuwekea huu.

Mwanzo 18:9-10
[9]Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani. HUYU NANI ANAYESEMA: Wakamwambia

[10]Akamwambia, Hakika nitakurudia wakati huu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume. Sara akasikia mlangoni pa hema iliyokuwapo nyuma yake. Huyu nani anayesema :Akamwambia

Tunapishana kwenye uelewa.

Ni mwandishi wa Kitabu cha Mwanzo.
Ameandika based na Simulizi za mdomo.
Ila hiyo haiondoi dhima kuwa kulikuwa na ushahidi wa kusikia.
Hiyo ndio hoja.

Tena kwenye Quran ndio kuna utata sana. Haijulikan nani anaongea..unataka twende huko?
 
Wanafunz watatu wa Yesu , walikuwa na Yesu muda mwing wameandika vitabu na hamviamini. Mnatakaje? Lete ushahidi Please wa hao wanafunzi kuandika vitabu

Acha Ujinga sasa.
Nitakupuuza.

Ushahid gan ww unataka?.
Yaan had utoke kwenye Quran ndio useme ni ushahidi?.

Ushahidi uko karne na karne..miaka 600 kabla ya mtume wenu. Hamis77 anashatoa ushahid wa kisayansi, kihistoria, na kidini.

Nitaanza kukupuuza. Maana hauna hoja.
Hauna reasoning na maswal unayouliza hayana mantiki.

Endelea tu na chat gpt. Maana bila ile ww ni sifuri.
 
Propaganda ya uislam ni dini ya kigaidi ilitosha kabisa kuumaliza uislam,ila badala yake huko america na ulaya ndio dini inayoendelea kusambaa zaidi
 
Acha Ujinga sasa.
Nitakupuuza.

Ushahid gan ww unataka?.
Yaan had utoke kwenye Quran ndio useme ni ushahidi?.

Ushahidi uko karne na karne..miaka 600 kabla ya mtume wenu. Hamis77 anashatoa ushahid wa kisayansi, kihistoria, na kidini.

Nitaanza kukupuuza. Maana hauna hoja.
Hauna reasoning na maswal unayouliza hayana mantiki.

Endelea tu na chat gpt. Maana bila ile ww ni sifuri.
Tulia usikasirike, tunapeana elimu
Ulisema kuwa Wanafunzi watatu wa Yesu , walikuwa na Yesu muda mwingi wameandika vitabu na hamviamini. Mnatakaje?

Swali:

Lete ushahidi Please wa hao wanafunzi kuandika vitabu
 
Kwanza niko busy ntapoteza focus.

Ila ukae utambue hili.
  • allah hajasema aitwe allah . Na hakuna kwenye quran.
  • hakuna ushahidi wa kuona au kusikia mohamed anaongea au kuonana na jibril.

Hivyo allah hayuko.
Ni uwongo uliojengwa na mohamed
 
Tunapishana kwenye uelewa.

Ni mwandishi wa Kitabu cha Mwanzo.
Ameandika based na Simulizi za mdomo.
Ila hiyo haiondoi dhima kuwa kulikuwa na ushahidi wa kusikia.
Hiyo ndio hoja.

Tena kwenye Quran ndio kuna utata sana. Haijulikan nani anaongea..unataka twende huko?
mwandishi huyo ni nani ?? wa kitabu cha mwanzo ?? kama amebase simulizi za mdomo , kumbe hakuona ??? umesema hiyo haiondoi dhima kulikuwa na ushahidi wa kusikia , hapa pia utuambie alikisika kwa nani ? wapi na lini ??
 
Kwanza niko busy ntapoteza focus.

Ila ukae utambue hili.
  • allah hajasema aitwe allah . Na hakuna kwenye quran.
  • hakuna ushahidi wa kuona au kusikia mohamed anaongea au kuonana na jibril.

Hivyo allah hayuko.
Ni uwongo uliojengwa na mohamed
Hii nilikujibu mara 2 labda umekazania ubishi hutaki kusoma , Please usijaribu kukimbia maswali yangu


Umeandika , nakunukuu ;


Anzia mstar wa 1.
Mm nakuwekea huu.

Mwanzo 18:9-10
[9]Wakamwambia, Yu wapi Sara mkeo? Akasema, Yumo hemani. HUYU NANI ANAYESEMA: Wakamwambia

[10]Akamwambia, Hakika nitakurudia wakati huu huu mwakani, na tazama, Sara mkeo atapata mwana wa kiume. Sara akasikia mlangoni pa hema iliyokuwapo nyuma yake. Huyu nani anayesema :Akamwambia

Umesema ni mwandishi , Nakuuliza NANI ?? LINI , NA WAPI
 
Tulia usikasirike, tunapeana elimu
Ulisema kuwa Wanafunzi watatu wa Yesu , walikuwa na Yesu muda mwingi wameandika vitabu na hamviamini. Mnatakaje?

Swali:

Lete ushahidi Please wa hao wanafunzi kuandika vitabu

Wanafunz watatu walioandika vitabu ni
  • Mathayo
  • Yohana
  • Luka

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK)
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK)
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK)
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.
 
Umesema ni mwandishi , Nakuuliza NANI ?? LINI , NA WAPI

Haujajibu.
Hakuna sehem kwenye quran allah alisema aitwe allah na hakuna ushuhuda wa nani alisikia au kuona mtume akishushiwa wahy.

Ibaki hivyo kwa kumbukumbu.

Pia Siwez kukimbia hoja zako mfu.
Unataka kujua nani aliandika kitabu kipi?.

Hapo ulipo qoute ni mtu aliyesimuliwa ndio anaandika.
Musa ndio alisimulia visa vya Mwanzo..
 
UISLAMU NI DINI ILIYOJENGWA KWA PROPAGANDA
Leo nitatolea mfano fundisho moja ambalo hata wakristo wengi wamejikuta wakiingia kwenye hii propaganda, ila kwakuwa elimu ni bahari. Leo natolea mfano wa hili fundisho la kuwa

MUHAMMAD KATOKA UZAO WA ISHMAEL

Uislamu ni dini iliyojengwa juu ya propaganda kubwa. Karibu kila fundisho lake limefungamanishwa kwa makusudi na kizazi cha Uyahudi na manabii wa Kiyahudi.

Muislamu akikupa andiko, mara nyingi hupotosha maana; akikupa historia, huichanganya na simulizi zisizo na uthibitisho.

Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama.
Shukrani kwa teknolojia ya leo, mambo mengi yaliyofichwa kwa karne sasa yanawekwa wazi.

Moja ya propaganda kubwa kabisa ndani ya Uislamu, ambayo hata Wakristo wengine wameanza kuiamini kimakosa, ni madai kwamba Muhammad ni uzao wa Ishmael.

Kuna imani iliyoenea miongoni mwa Waislamu kuwa Muhammad ﷺ ni uzao wa Ismail bin Ibrahim kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa hadith na wanazuoni wa mwanzo wa Kiislamu unaonyesha wazi kuwa Muhammad mwenyewe hakuwahi kuthibitisha nasaba hiyo, na kwa makusudi alikataa madai yanayovuka Adnan.

Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema👇👇

"Al-kadhdhābūna fī al-ansāb. Fa-idhā dhakartum fa-qūlū: fulān ibn fulān ḥattā tablughū Adnān."

“Wanaoeleza nasaba (za mbali) ni waongo. Mkisema nasaba, semeni: fulani bin fulani, mpaka mfikie Adnan.”

(Imepokewa kutoka kwa Ibn Abbas – Musnad Ahmad, Juzuu 1, uk. 344; pia imetajwa na Al-Tabarani)

Kauli hii ni nzito sana. Inaonyesha wazi kwamba Muhammad aliwaita waongo wale wanaodai kujua nasaba inayovuka Adnan hadi kwa Ismail au Ibrahim.

Kama Muhammad mwenyewe alikataa nasaba hiyo, Waislamu wa leo wanaitoa wapi?

Leo hii, Waislamu wametengeneza family trees za uongo, wakimunganisha Muhammad moja kwa moja na Ibrahim kupitia Ismail. Hizi simulizi hazikujulikana wakati wa Muhammad, bali zilianza kusambazwa vizazi kadhaa baada ya kifo chake.

Na mtu aliyeileta hii propaganda ni Ibn ishak mwanauzuoni wa uislamu.Maana ingekuwa vigumu kuwashawishi watu kuhusu uislamu bila kusingizia Muhammad ana nasaba na Ibrahim kuja Hadi kwa ismaili.

Ni propaganda ya baadaye, si historia.
Wanazuoni wakubwa wa mwanzo wa Kiislamu walikuwa waangalifu sana juu ya suala hili.

Imam Malik bin Anas, mwanazuoni wa Madina, alinukuliwa akisema:

“Man za‘ama annahu ya‘rifu nasaba al-Nabiy ḥattā Ādam faqad kadhiba.”

“Yeyote anayesema kuwa anajua nasaba ya Mtume hadi kwa Adam, basi huyo ni muongo.”
(Imenukuliwa katika vitabu vya nasaba na wanazuoni wa Madina, pia ikitajwa na Ibn Abd al-Barr)

Kauli hii inaonyesha kuwa hata katika karne za mwanzo kabisa za Uislamu, madai ya nasaba ya mbali hayakukubaliwa kielimu.

Mwanahistoria mashuhuri wa Kiislamu Ibn Khaldun aliandika wazi kabisa:

“Wa ammā al-nasab fīmā fawqa Adnān fa-lā yaṣiḥḥu minhū shay’.”
“Kuhusu nasaba iliyo juu ya Adnan, hakuna hata moja iliyo sahihi kihistoria.”
(Ibn Khaldun – Al-Muqaddimah, mlango wa Ansab)

Vivyo hivyo, Ibn Sa‘d katika Tabaqat al-Kubra alipoorodhesha nasaba ya Muhammad, aliishia Adnan, na akaandika wazi:

“Tumefikia mpaka Adnan. Yanayozidi hapo hayana uthibitisho wa kuaminika.”

Kwa hiyo, kinyume na propaganda za leo, hakuna ushahidi wa kihistoria wa Kiislamu unaothibitisha kuwa Muhammad ni uzao wa Ismail.

Ni muhimu pia kukumbuka:

👉 Qur’an haijasema popote kwamba Muhammad ni uzao wa Ismail.

Qur’an inamtambulisha Muhammad kama Mtume kwa Waarabu (rasūlan minhum), si kama mzao wa Ibrahim wala Ismail.

Msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kinabii, bali juu ya simulizi ya wahyi kule pangoni, kiumbe aliyedai kumuona, na kuthibitishwa baadaye na Khadija na Waraqah bin Nawfal.,huku muhamad alisema alikutana na kuchezewa na Mashetani.

Hakuna hata mara moja Muhammad alijenga hoja ya utume wake juu ya kuwa mzao wa Ismail.

Kwa hiyo, fundisho kwamba Muhammad ni uzao wa Ishmael ni ubunifu wa baadaye, uliotengenezwa kwa sababu za kisiasa na kijamii, ili kuwapa Waarabu nafasi katika urithi wa Ibrahim ambao tayari Wayahudi na Wakristo walikuwa wanaujadili.

Hapa nasaba ikawa silaha ya kisiasa, si ukweli wa kihistoria.

Kama Muhammad mwenyewe hakujinasibisha na Ismail, basi hakuna sababu ya kuendelea kueneza propaganda hii leo kama ukweli wa imani.

Ukweli huu unapaswa kuwafanya wengi wafungue macho.

Uongo ukisemwa mara nyingi huonekana kama ukweli, lakini teknolojia ya leo imeanza kuvua nguo propaganda hizi.

TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU.
Umeandaa point zako vizuri. Tatizo ni kuwa "kwa ground" mambo ni tofauti sana huko Ulaya, Marekani mpaka Australia nk. Aminia hii homa itajafika hata huku kwetu. Ni muda tuu😅
 

Attachments

  • Screenshot_20260120_105855_Chrome.jpg
    Screenshot_20260120_105855_Chrome.jpg
    219.1 KB · Views: 4
Wanafunz watatu walioandika vitabu ni
  • Mathayo
  • Yohana
  • Luka

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK)
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK)
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK)
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK) ameeleza wapi ????Kitabu gani ???
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK) Irenaeus ameeleza wapi???? kitabu gani ??
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK) Ameeleza wapi???? kitabu gani ??
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.
 
Wanafunz watatu walioandika vitabu ni
  • Mathayo
  • Yohana
  • Luka

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK)
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK)
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK)
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.

INJILI YA YOHANA

Biblia ya The Holman Illustrated Study Bible, ISBN: 978-1-58640-275-4, Injili ya Yohana, Ukurasa 1540)”

imeandika hivi kuhusu injili ya Yohana


Wasomi wengi katika kipindi cha karne mbili zilizopita wamekataa kwamba Yohana aliandika kitabu hiki, kwa sehemu kwa sababu ya imani yao kwamba mwandishi alitunga mambo mengi, kama vile miujiza na hotuba za Yesu

Biblia ya The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1136 ,

imeandika hivi kuhusu injili ya Yohana


Uchambuzi wa Kihakiki hufanya iwe vigumu kukubali wazo kwamba Injili hii, kama ilivyo sasa, iliandikwa na mtu mmoja


Kwa hiyo, hakuna mtu anayejua kuhusu “Injili ya Yohana”:


  • Nani aliyeiandika.
  • Watu wangapi waliishiriki kuiandika.
  • Iliandikwa lini.
  • Iliandikwa wapi.

Pia, mtu akisoma Injili hii, atagundua mara moja kwamba haikuandikwa na Yohana mwenyewe. Wakristo hudai kwamba iliandikwa na Yohana Mtume, akiandika kumhusu Yohana Mbatizaji.

Ushahidi uliotolewa katika nukuu zilizo juu unaonyesha wazi kwamba dai hilo ni uongo wa kukata tamaa!
Ninawasilisha kwako kwamba hakuna Yohana aliyeandika chochote!

Hebu tuangalie aya zifuatazo kutoka Injili:


“Na huu ndio ushuhuda wa Yohana, Wayahudi walipotuma makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu kumwuliza, Wewe u nani?”
(Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 1:19)

“Yohana akawajibu, akisema, Mimi nabatiza kwa maji; lakini katikati yenu amesimama mmoja msiyemjua.”
(Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 1:26)

“Kwa maana Yohana alikuwa bado hajatupwa gerezani.”
(Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 3:24)

n.k.

Yeyote aliyeandika Injili hii, je, aliteuliwa au kuvuviwa na MUNGU Mwenyezi? Ikiwa ndiyo, basi huyo mtu ni nani? Haiwezi kuwa Yohana, kwa sababu ni dhahiri kabisa kutokana na aya zilizo juu na nyingi nyingine katika Injili nzima kwamba Yohana hakuwa mwandishi wa awali.

Mtu lazima awe na upendeleo wa kupindukia na upofu wa imani ndipo akatae jambo hilo.

Sasa basi, vipi kuhusu aya hizi maarufu sana:

“Hapo mwanzo kulikuwapo Neno, naye Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu kwa mamlaka (neno lilelile la Kigiriki linalotumiwa kwa mamlaka ya Shetani [2] [3]).”
(Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 1:1)

“Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi, hata akamtoa Mwanawe wa pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.”
(Kutoka Biblia ya King James Version, Yohana 3:16)

Aya hizi bila shaka ziliandikwa na watu wasiojulikana, siyo na yeyote kati ya wanafunzi wa awali wa Yesu.

Kwa hiyo, ni kufuru kuzichukulia aya kama hizi kuwa ni za Kiungu na kujaribu kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Muumba wa Ulimwengu kupitia aya hizo.

Uongo wa Utatu ulizaliwa kati ya miaka 150 hadi 300. Inawezekana kabisa, na kuna uwezekano mkubwa, kwamba kanisa fulani liliandika kile kinachoitwa “Injili ya Yohana” kutokana na vipande vya maandishi walivyovikuta.

Tambua kwamba kuna “barua” au maandiko 24,000 yaliyopatikana ambayo hayakujumuishwa katika Agano Jipya la leo.

Hii ina maana kwamba vipande vilivyotumika kuandika “Injili ya Yohana” na vitabu vyote vingine na Injili za Agano Jipya vina mashaka makubwa sana, na havina uthibitisho wowote kwamba viliandikwa na yeyote kati ya wanafunzi wa awali wa Yesu.

Injili ya Yohana iliandikwa kumhusu Yohana, lakini siyo na “Mtakatifu Yohana” wa awali.

Tofauti kubwa na ufisadi mkubwa! Huwezi kuchukulia upuuzi kama huo kuwa ni Maneno Matakatifu ya Kiungu ya MUNGU Mwenyezi.
 
Umeandaa point zako vizuri. Tatizo ni kuwa "kwa ground" mambo ni tofauti sana huko Ulaya, Marekani mpaka Australia nk. Aminia hii homa itajafika hata huku kwetu. Ni muda tuu😅
Nilitegemea ujibu hoja zangu ila umekuja na cheap propaganda

Au hoja ni NZITO?
 
Wanafunz watatu walioandika vitabu ni
  • Mathayo
  • Yohana
  • Luka

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK)
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK)
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK)
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.

INJILI YA MATHAYO

Biblia ya The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1008

Imeandika :


Mwandishi asiyejulikana, ambaye kwa urahisi tutaendelea kumwita Mathayo, hakutegemea tu Injili kulingana na Marko bali pia alitumia mkusanyiko mkubwa wa nyenzo (hasa maneno ya Yesu) ambayo hayapatikani katika Marko lakini yanafanana, wakati mwingine kabisa, na nyenzo zinazopatikana pia katika Injili kulingana na Luka.

Ikaendelea kuandika

Kuhusu mahali ambapo injili iliandikwa, pendekezo linaloonekana kuwa na uzito ni kwamba ilikuwa Antiokia, mji mkuu wa jimbo la Kirumi la Siria.

The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1009

Hivyo tunaona wazi kwamba, waandishi au mwandishi wa ‘Injili ya Mathayo’ pamoja na mahali ilipoandikwa havijulikani
 
Propaganda ya uislam ni dini ya kigaidi ilitosha kabisa kuumaliza uislam,ila badala yake huko america na ulaya ndio dini inayoendelea kusambaa zaidi
KWANINI UISLAMU UNAHOFIA UKRISTO?
Moja ya masuala makubwa yanayoibua mjadala wa kimataifa leo ni uhuru wa kuabudu. Swali linaloulizwa na wengi ni hili:

Kwa nini katika baadhi ya nchi za Kiislamu Ukristo unabinywa, huku Uislamu ukifurahia uhuru mkubwa katika nchi zisizo za Kiislamu?

Katika nchi nyingi za Magharibi:
Waislamu wanaruhusiwa kujenga misikiti
Wanavaa mavazi yao ya kidini hadharani
Wanaswali hata barabarani na viwanjani
Wanahubiri na kusambaza vitabu vyao bila hofu

👉 Hakuna marufuku ya Uislamu kama dini, licha ya nchi hizo kutokuwa za Kiislamu.

Kinyume chake, katika baadhi ya nchi zinazotawaliwa na sheria za Kiislamu:
Wakristo hawaruhusiwi kujenga makanisa mapya
Kuuza au kusambaza Biblia kunapigwa marufuku
Uhubiri wa Kikristo hadharani unaweza kusababisha kifungo au mateso
Kubadili dini kutoka Uislamu kwenda Ukristo huonekana kama kosa kubwa

👉 Hapa ndipo swali la msingi linaibuka:

Kama Uislamu ni dini ya ukweli na inajiamini, kwa nini unaogopa ushindani wa mawazo?

Cha kushangaza zaidi ni kwamba katika baadhi ya nchi hizo hizo:

Matamasha makubwa ya muziki na burudani yameruhusiwa
Baa za pombe na burudani za kisasa zinaidhinishwa
Sherehe zisizo na mizizi ya Kiislamu zinapewa nafasi rasmi

Mifano ya matamasha yanayotajwa mara kwa mara:
Riyadh Season (tamasha kubwa la burudani na muziki)
MDLBEAST Soundstorm (tamasha la muziki wa kisasa)
Sherehe za Halloween katika baadhi ya maeneo ya Ghuba

Dini ya Mashetani ya HALLOWEEN na Sherehe zake zinaruhusiwa:
Angalia Haloween ceremony in Saudi Arabia ujiridhishe:

Ni Demonic Cerebration:
Watu wanajikatakata damu chapachapa:

Lakini
👉 Ukristo? Hapana.
👉 Biblia bure? Hapana.
👉 Kanisa jipya? Marufuku.

JE, HUU NI UHURU AU HOFU?

Uhuru wa kweli wa dini:
Hauchagui dini ipi iruhusiwe
Hauogopi maswali, hoja wala maandiko ya dini nyingine

Haujengwi kwa nguvu, vitisho au marufuku
Dini inayojisitiri kwa mabavu huacha maswali makubwa mioyoni mwa wanaotazama kwa haki.

Ndio maana wanaouacha uislamu katika hizi nchi ni wengi sana, sema hawajutangazi kwa kuogopa kuuwawa
 
Wanafunz watatu walioandika vitabu ni
  • Mathayo
  • Yohana
  • Luka

Tuanze na Mathayo.
Ushahidi wa watu baada tu ya Yesu.

1. Papias wa Hierapolis (karibu 60–130 BK)
Papias, kiongozi wa awali, alieleza:
“Mathayo aliandikisha maneno ya Yesu kwa Kiebrania, na kila mtu akaelezea kwa lugha yake.”
Ufafanuzi:
Hii inaashiria kwamba Mathayo aliandaa maneno ya mafundisho ya Yesu (logia) kwanza kwa Kiebrania/Aramaiki.
Kisha tafsiri ilifanyika kwa Kigiriki kama Injili tunayoisoma leo.

2. Irenaeus wa Lyon (130–202 BK)
Irenaeus alisema:
Mathayo aliandika kwa Kiebrania na watu wa Kiyahudi waliokuwa wafuasi wa Yesu waliisoma.
Ushahidi wa kihistoria: Hii inathibitisha uhakika wa asili wa mwandishi.

3. Origen (185–254 BK)
Alieleza kuwa Mathayo aliandikisha Injili yake kwanza, na baadaye Marko na Luka walitumia kama marejeleo.
Ushahidi wa kinadharia: Hii inatoa mlolongo wa kihistoria wa mwandishi wa Injili.


Injili hii ndiyo ya zamani zaidi na inadaiwa kuwa ndiyo ya asili zaidi katika Agano Jipya.


“Ingawa kitabu hiki hakina jina la mwandishi, isipokuwa kichwa cha kale ‘Kulingana na Marko’ kilichopo katika maandiko ya kale, kwa mapokeo kimehusishwa na Yohana Marko, ambaye katika nyumba ya mama yake (huko Yerusalemu) Wakristo walikuwa wakikusanyika.”
(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1064)

“Ingawa hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa ndani ya kitabu unaothibitisha uandishi, ushuhuda wa kanisa la awali ulikuwa wa kauli moja kwamba Injili hii iliandikwa na Yohana Marko.”
(Kutoka NIV Bible Commentary [1], ukurasa 1488)

Kwa hakika, hatujui kwa uhakika kama Marko ndiye aliyekuwa mwandishi au la! Nukuu hiyo inasema wazi kuwa “hakuna ushahidi wa moja kwa moja wa ndani unaothibitisha uandishi.” Pia, ule unaoitwa ushuhuda wa kauli moja wa kanisa la awali:


  • Hauthibitishi kuwa mwandishi alikuwa Marko.
  • Wala hauthibitishi kuwa watu wengine hawakubadilisha au kurekebisha kitabu hiki, hasa ikizingatiwa kuwa kiliandikwa angalau miaka 40–50 baada ya Kristo.
  • Hata hatujui kama Marko aliwahi kuandika kitabu hicho.

“Kwa mapokeo, inasemekana kuwa Injili hii iliandikwa muda mfupi kabla ya mwaka 70 B.K. huko Roma, katika kipindi cha mateso yaliyokuwa yakikaribia na wakati ambapo uharibifu ulikuwa unalitishia Yerusalemu.”
(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1064)

“Kuna mashaka makubwa kama aya hizi ni sehemu halisi ya Injili ya Marko. Hazipo katika maandiko muhimu ya kale na zinaonyesha upekee fulani wa msamiati, mtindo na maudhui ya kiteolojia ambao haupatikani katika sehemu nyingine za Marko. Inawezekana Injili yake iliishia kwenye 16:8, au mwisho wake wa asili umepotea.”
(Kutoka NIV Bible Foot Notes [1], ukurasa 1528)

“Aya hii, inayosema, ‘Lakini msiposamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe makosa yenu,’ imeachwa katika maandiko bora zaidi.”
(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1081)

“Sehemu hii, inayojulikana kama Mwisho Mrefu wa Injili ya Marko kwa kulinganishwa na hitimisho fupi sana linalopatikana katika baadhi ya maandiko mengine yasiyo muhimu sana, kwa mapokeo imekubaliwa kuwa sehemu ya kikanoni ya Injili na ilithibitishwa kuwa hivyo na Baraza la Trento. Nukuu za mapema kutoka kwa Mababa wa Kanisa zinaonyesha kuwa iliandikwa kufikia karne ya pili, ingawa msamiati na mtindo vinaonyesha kuwa iliandikwa na mtu mwingine, si Marko.”
(The New American Bible, ISBN: 978-0-529-06484-4, Ukurasa 1088)

Kwa hiyo, kwa uhalisia, hatujui kwa uhakika kama Marko alikuwa mwandishi pekee wa Injili hii au la, wala hatujui ilipoandikwa na lini hasa “injili” hii iliandikwa. Na kwa kuwa Agano Jipya halikuandikwa rasmi kwenye maandishi hadi miaka 150–300 baadaye (kutegemea Mkristo unayemuuliza) baada ya Yesu, basi tunawezaje kujua kwa uhakika kwamba “Injili ya Marko” tuliyonayo leo haikuandikwa au kurekebishwa na mtu fulani aliyekuwa akiunga mkono Marko?


Picha mpya iliyopatikana inayoonyesha upotovu wa kitabu hiki:
1768901506291.png

Maandishi yaliyo hapo juu yanasema:


“Nakala za kale za awali zilizoaminika zaidi pamoja na ushahidi mwingine wa kale hazina Marko 16:9–20.”

Sasa wasiwasi wangu kuhusu upotovu huu na kauli hii ya “kujibu tatizo kwa kulifuta” ni huu:
ni zipi hasa hizo zinazoitwa “nakala za kale za awali zilizoaminika”, na ni nani hao wanaoitwa “mashahidi wa kale”?
 
KWANINI UISLAMU UNAHOFIA UKRISTO?
Moja ya masuala makubwa yanayoibua mjadala wa kimataifa leo ni uhuru wa kuabudu. Swali linaloulizwa na wengi ni hili:

Kwa nini katika baadhi ya nchi za Kiislamu Ukristo unabinywa, huku Uislamu ukifurahia uhuru mkubwa katika nchi zisizo za Kiislamu?

Katika nchi nyingi za Magharibi:
Waislamu wanaruhusiwa kujenga misikiti
Wanavaa mavazi yao ya kidini hadharani
Wanaswali hata barabarani na viwanjani
Wanahubiri na kusambaza vitabu vyao bila hofu

👉 Hakuna marufuku ya Uislamu kama dini, licha ya nchi hizo kutokuwa za Kiislamu.

Kinyume chake, katika baadhi ya nchi zinazotawaliwa na sheria za Kiislamu:
Wakristo hawaruhusiwi kujenga makanisa mapya
Kuuza au kusambaza Biblia kunapigwa marufuku
Uhubiri wa Kikristo hadharani unaweza kusababisha kifungo au mateso
Kubadili dini kutoka Uislamu kwenda Ukristo huonekana kama kosa kubwa

👉 Hapa ndipo swali la msingi linaibuka:

Kama Uislamu ni dini ya ukweli na inajiamini, kwa nini unaogopa ushindani wa mawazo?

Cha kushangaza zaidi ni kwamba katika baadhi ya nchi hizo hizo:

Matamasha makubwa ya muziki na burudani yameruhusiwa
Baa za pombe na burudani za kisasa zinaidhinishwa
Sherehe zisizo na mizizi ya Kiislamu zinapewa nafasi rasmi

Mifano ya matamasha yanayotajwa mara kwa mara:
Riyadh Season (tamasha kubwa la burudani na muziki)
MDLBEAST Soundstorm (tamasha la muziki wa kisasa)
Sherehe za Halloween katika baadhi ya maeneo ya Ghuba

Dini ya Mashetani ya HALLOWEEN na Sherehe zake zinaruhusiwa:
Angalia Haloween ceremony in Saudi Arabia ujiridhishe:

Ni Demonic Cerebration:
Watu wanajikatakata damu chapachapa:

Lakini
👉 Ukristo? Hapana.
👉 Biblia bure? Hapana.
👉 Kanisa jipya? Marufuku.

JE, HUU NI UHURU AU HOFU?

Uhuru wa kweli wa dini:
Hauchagui dini ipi iruhusiwe
Hauogopi maswali, hoja wala maandiko ya dini nyingine

Haujengwi kwa nguvu, vitisho au marufuku
Dini inayojisitiri kwa mabavu huacha maswali makubwa mioyoni mwa wanaotazama kwa haki.

Ndio maana wanaouacha uislamu katika hizi nchi ni wengi sana, sema hawajutangazi kwa kuogopa kuuwawa

Hoja hii inachanganya makusudi kati ya Uislamu kama dini na sera za baadhi ya serikali.


Uislamu hauogopi Ukristo:


  • Wakristo waliishi chini ya tawala za Kiislamu kwa zaidi ya miaka 1400
  • Qur’an: “Hakuna kulazimisha katika dini” (2:256)

Lakini je, Biblia yenyewe inaruhusu uhuru wa kuabudu?


📖 Luka 14:23

👉 “Walazimishe kuingia…”


📖 Mathayo 28:19

👉 “Nendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi…”
(Hii ndiyo msingi wa uhubiri na kubadilisha dini)


📖 Kumbukumbu la Torati 13:6–10

👉 Anayeacha dini au kuhamasisha dini nyingine auawe


📖 1 Wafalme 18:40

👉 Manabii wa Baali waliuawa kwa sababu ya dini


Kwa hiyo:
👉 Ukristo wenyewe una historia ya kulazimisha na kuua kwa misingi ya dini
👉 Crusades, Inquisition, na mateso ya Wakristo kwa wasiokubali ni ushahidi wa kihistoria


Hoja ya Halloween na matamasha:
👉 Ni makosa ya watawala, si Uislamu
👉 Makosa ya serikali hayathibitishi Ukristo kuwa wa kweli


Kwa hivyo :

Uislamu unasimama kwa hoja.

Ukristo unasimama kwa kulazimisha na historia ya nguvu.
 
Kwanza niko busy ntapoteza focus.

Ila ukae utambue hili.
  • allah hajasema aitwe allah . Na hakuna kwenye quran.
  • hakuna ushahidi wa kuona au kusikia mohamed anaongea au kuonana na jibril.

Hivyo allah hayuko.
Ni uwongo uliojengwa na mohamed

1. “Allah hajasema aitwe Allah, hayupo kwenye Qur’an” ❌​


Hii ni uongo wa wazi.


📖 Qur’an inasema:


“Sema: Muombeni Allah au muombeni Ar-Rahman, kwa jina lolote mtakalo muomba, Yeye ana majina mazuri.”
(Qur’an 17:110)

📖 Pia:


“Hakika Mimi ni Allah, hapana mungu ila Mimi.”
(Qur’an 20:14)

👉 Jina Allah limo Qur’an zaidi ya mara 2700.
Kudai halipo ni ujinga au udanganyifu wa makusudi.




2. “Hakuna aliyemwona Muhammad akizungumza na Jibril” ❌​


Hata Biblia haina shahidi wa watu kumuona:


  • Musa akiongea na Mungu
  • Yesu akiongea na Mungu
  • Paulo akiona Yesu baada ya kufa

📖 Mfano:


“Musa alisema, Mungu amesema nami”
— lakini hakuna aliyemwona Mungu wala sauti ikitoka mbinguni mbele ya watu wote.

Je, kwa mantiki hii:

👉 Musa alikuwa muongo?
👉 Yesu alikuwa muongo?
👉 Paulo alikuwa muongo?


Hapana.


Ufunuo wa Mungu hauhitaji mashahidi wa macho.




3. Qur’an yenyewe inajibu hoja hii​


📖 Qur’an 53:5–11:


“Alifundishwa na mwenye nguvu nyingi… moyo haukukadhibisha ulichokiona.”

📖 Qur’an 81:23:


“Na hakika alimwona (Jibril) kwenye upeo ulio wazi.”

👉 Qur’an inathibitisha wazi Muhammad kumuona Jibril, si hadithi ya siri.




4. “Basi Allah hayuko” – HII SI HOJA, NI HISIA​


Kwa mantiki hii:


  • Hatujamwona Mungu → hayupo ❌
  • Hatujamwona akili → hakuna ❌
  • Hatujamwona upepo → haupo ❌

Lakini:
👉 Tunajua upepo upo kwa athari zake
👉 Tunajua akili ipo kwa matendo yake


Vivyo hivyo:
👉 Allah anajulikana kwa uumbaji, mpangilio, sheria, na ufunuo

5. Muhammad angewezaje kubuni Qur’an?​

  • Hakuwa msomi
  • Hakuwa mshairi
  • Hakuandika
  • Aliishi miaka 40 bila kudai utume

Kisha akaja na:

  • Kitabu kisicho na mfano wa lugha
  • Sheria iliyobadilisha dunia
  • Utabiri uliotimia

👉 Uwongo haujengi ustaarabu kwa miaka 1400.



 
Back
Top Bottom