Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
- Thread starter
- #41
mkuupoultry industry imekuwa maarufu recently, hapo kabla haikuwa vibrant kama sasa. ishu ya sugar ni ya kitambo na ilikubaliwa kuwa SI. sasa asilalamike eti 'no one is paying attention' kwa sababu hata yeye tayari ameshatoa kilio, serikali ikisikia kazi itafanyika kuona kama ina-qualify kuwa SI. kumbuka kuwa tanzania haitakurupuka kuyazuia mayai, lazima pawe na makubaliano na SADC, EAC.
idoyo, nimekua ktk poultry business since 2005, na hatujawahi kulalamika na hata ktk vipindi Vya milipuko ya mafua ya ndege tulitii serikali na kufunga mashamba. Hivo sio new business na silalamiki. Ni wajibu wa serikali