Uingizaji sukari vs uingizaji mayai, tuache unafiki

Uingizaji sukari vs uingizaji mayai, tuache unafiki

poultry industry imekuwa maarufu recently, hapo kabla haikuwa vibrant kama sasa. ishu ya sugar ni ya kitambo na ilikubaliwa kuwa SI. sasa asilalamike eti 'no one is paying attention' kwa sababu hata yeye tayari ameshatoa kilio, serikali ikisikia kazi itafanyika kuona kama ina-qualify kuwa SI. kumbuka kuwa tanzania haitakurupuka kuyazuia mayai, lazima pawe na makubaliano na SADC, EAC.
mkuu
idoyo, nimekua ktk poultry business since 2005, na hatujawahi kulalamika na hata ktk vipindi Vya milipuko ya mafua ya ndege tulitii serikali na kufunga mashamba. Hivo sio new business na silalamiki. Ni wajibu wa serikali
 
mkuu
idoyo, nimekua ktk poultry business since 2005, na hatujawahi kulalamika na hata ktk vipindi Vya milipuko ya mafua ya ndege tulitii serikali na kufunga mashamba. Hivo sio new business na silalamiki. Ni wajibu wa serikali
elewa point yangu: poultry industry imekuwa vibrant recently, sijamaanisha kwamba haikuwepo.
 
Mna chama cha wafuga kuku;wazalisha mayai? kimesajiliwa?
Hamjachelewa, nnaweza jenga hoja kwenye mamlaka husika na kwa kuanzia mtafuteni Masako wa ITV anakipindi chake,you can set the agenda na kumpatia,muhimu nanyi kuwa na facts na hoja za ushawishi kiuchumi zaidi.
 
kuku hawezi kutaga wiki 9 mkuu na hap tunazungumzia juku wa mayai sio wa nyama. However ni kweli inabidi kua halima market segmentation. Ushauri Mzuri
I am not in the chicken business ndio maana nikauliza where do the competitor beat you lots in margins. kwa sababu icho ndio muhimu vinginevyo mtu awezi kutoa mayai huko halipo akauza cheap zaidi kama yanaghrama sawa its just logic to make profit you got to cover unit cost there after it depends on your pricing strategies, business goals and where you sell them (that just marketing in its simplest aims).

Cha muhimu tuongeze bidii za kuwa creative lakini si kuomba serikari kusaidia kila mara ndio maana watu awaendelei kuna mshakaji wangu alikuwa bar siku moja na mjomba wake anasema baada ya kuachana anampigia simu saa sita za usiku kulikuwa na container lake linatakiwa kutoka bandarini inabidi likashushwe kariakoo hivyo anaomba ampitie walifuate kusimamia.

Jamaa akamwambia wewe si wanakujua kama clearing pale na makaratasi unayo yote ya ulipizi, amwambia ndio. Jamaa anauliza sasa sisi tukafanye nini usiku. Mshakaji anasema alichofanya kumpigia simu tu dereva apitie makaratasi akamwambie na yeye ampigie simu mtu wa bandari kila kitu kikafanyika on teleconference ndio ujue asilimia kubwa ya wafanya biashara wa tanzania particlulary those in their fifties yaani wamezoea routine kiasi kwamba ubunifu hakuna. That needs to change kwakweli kama tunataka maendeleo lazima tujifunze ushindani maana kutoka ndani umekosekana kwa muda mrefu, bora waje tu (sisemo ovyo ovyo bila ya mpangilio serikari lazima ije na sera imara pia za kuchochea maendeleo na ajira).
 
elewa point yangu: poultry industry imekuwa vibrant recently, sijamaanisha kwamba haikuwepo.
Mkuu Nathani wewe ndio umeanza kuifuatilia hivi karibuni, iko vizuri kitambo
 
I deal but it should not be at the expense of social cost, these international business or importer look at the price gap in the market.

Wafanyabiashara watanzania inabidi wajifunze where the importer gain in their margins, usikute watu wanatumia volume tu kutengeneza faida za biashara, sera za nchi zinakodi ndogo kwenye bidhaa, government subsidies etc.

This is the reason ppl do marketing research lakini habari za bei ya kilo za mchele kuwa tofauti kati ya sokoni iringa na dar kisa watu hawana maarifa halafu waendelee kilindwa na hadithi za uzalendo zinadumaza akili za wafanya biashara hata IMF wanasema these businesses are simple for the most part you can see why.

Watu inabidi waongoze maarifa au waje tu wakenya kama atuwezi kuwekeza kwenye kuinua maarifa ya ujasiriamali Rwanda, Uganda na burundi wapewe coastal area wawekeze, wanaotaka kulima wapewe mashamba walime, wanaotaka kufuga kisasa wafuge; time is moving society bado imelala tumezidi people can not even come up right pricing strategies zaidi ya kuangalia fulani anauzaje wakizidiwa serikari iwatete hapana enough, swala hapa ni jinsi gani hizo biashara zinalipa kodi Tanzania walau kuwe na fairness.

Am down with you mkuu,Watanzania ni wabnafsi,wenzetu wanafanikiwa kwa kuunganisha nguvu (mitaji,technology nk) ili kupambana na nguvu ya soko na taasisi husika.
 
Am down with you mkuu,Watanzania ni wabnafsi,wenzetu wanafanikiwa kwa kuunganisha nguvu (mitaji,technology nk) ili kupambana na nguvu ya soko na taasisi husika.
Swala sio ubinafsi, swala ni market entry strategy and the type of organization, hata nchi za wenzetu tena za kibepari kuna kuna co-operative organizations.

Ni wadau tu wenye muono sahihi kukaa chini na kutatua changamoto za co-operative management especially control na jinsi ya kulipana faida hili kufanya kazi kwa pamoja kama swala ni kuunganisha nguvu at the end of the its the mission and the strategy you want to execute.
 
Mara kadhaa wafugaji wa kuku tumekua tunalalamikia serikali kutodhibiti uingizaji wa mayai toka Kenya kwani unakaribia soko la ndani na mayai kufikiri kuoza kwa kukosa soko, kwakua wafugaji wakubwa, Kati na wadogo tuko zaidi ya 20000 na wengi wana madeni makubwa ktk taasisi za mikopo/fedha.

Members wengi wa jamii forums ni wanafiki, wamekua wanapinga uingizaji wa sukari toka nje eti unaharibu ajira za ndani na soko pamoja na kuua viwanda, jibuni haya maswali

1. Idadi ya wafugaji wa kuku na idadi yawauajiriwa wa viwanda Vya sukari ili kubwa (sitetei hao waingizaje ieleweke)
2. Wenye viwanda wanaweza kwenda kuuza hata Congo, je mayai utapelekea Congo kwa mitaji ya mikopo
3. Si unafiki kutembea kundi dogo la wenye viwanda na kukaa kimya kwa bias hata za wafugaji ambapo wengi ni wayang na wastaafu
4. Clouds radio waliweka muda Maalumu kuisemea issue ya sukari kwakua walihongwa na wenye viwanda, sisa wajasiriamali hatuna cha kuongea hivyo ni Sawa kuonewa[?/QUOTE]
undeni chama na mkisajili na muwe na mwanasheria. kwa namna hiyo mnaweza hata kufanya migomo. ila kabla yote jiulizeni kwanini ya kenya yako cheap?.
 
mmewahi jiuliza kwanini mayai ya kenya yapo cheap?.
unajua hawa wenzetu wanaangalia Selling of Priduct hawaangalii uzalishaji wa hicho chakula kuku
kupanda bei Kwanini dagaa mifupa pumba za alizeti wanauziwa 39,000 mpaka 40,000/=
Madawa ya hao kuku
chanjo za hao kuku
Wakati wazalishaji wengine wanakitengeneza hicho chakula wao wenyewe ndi maana bei inakuwa chini
na kwa vile demand ya mayai ni kubwa wanashuhsha bei ii waweze kuuza kwa wingi
  • ukikubaliana na bei za wafugaji wa kuku ni kila siku zinapanda na ndio maana wengi tunaacha kula chips mayai ya kizungu bora nikanywe chai au uji mchana nikishishia na soda siku itapita
Nitetetee nini! ! Huo ni wajibu wa serikali Yenu ya kidhalimu. Kama hawawezi wasubiri 2015
Asante mkuu, nakubali kosa na nashukuru kwa kuliweka vizuri. Naipenda nchi yangu
Kusema ukweli Matumizi ya mayai yameshuka sana na mm siyatumii kulinganisha na sukari inavyohitajika na Clouds leo asubuhi nimewasikia lakoni sisi wakulima wa Mahindi tumekwamishwa uuzaji wa mahindi huko Kenya (miaka 3 sasa na Waziri Maghembe kuwa tunasababusha njaana Mizengo pinda akakomelea kabisa sasa) yanatuozea, wakati yanahitajika sana kwenda hadi Somalia na Ethiopia, bado huko Tunduma
huko Babati na Handeni yameshaoza kwa kuota tena lakini tukiweka hasira kwa ajili ya mikopo tuliyokopa tutaeleweka kwa kuitukana Serukali ambayo ni sisi wenyewe

wazo kuu ni kubadili Biashara si kuingoja kwani umri nao unaenda na vinazuka vibiashara vingine vipya
Hapo ni kuzalisha hicho chakula jirani wakiiga unapitia mbolea zao na kuzalisha shamba la minanasi kwa mkopo kwani si wote watakaotoka kwa biashara ya kuigana
 
Mkuu tumejaribu kukutana Mara kadhaa pale UDSM, however the turnout was more than dis pointing . Yet we can't negotiate prices za vyakula Vya kuku ilihali eggs price inakwenda chin daily

Mkuu, jaribu kumtafuta mbunge yeyote mwenye ushawishi aweze kupush ishu yenu bungeni.
 
idoyo, it seems you are those kind of people who believes on employment, we are not! Umeandika pumba Tupu.. Ninachozungumzia Mimi ni impact ya uingizaji wa fast moving products Kama mayai na impact yake kwa maelfu ya wajasiriamali. Serikali inawasaidiaje hawa? You make yourself look stupid

Tunatofautiana sana uelewa....

...
 
Back
Top Bottom